Rostam Aziz kuvuliwa Uraia?

Rostam Aziz kuvuliwa Uraia?

udaku mwingi sana..

tunapiga kelele sana kwanini msiende mahakamani ili mmmuwekee kinga avuliwe URAIA.Mpaka mtua mekuwa Mbunge mlikuw awapi kusema yeye siyo Raia?huku ni kushindwa kwa hoja na kuweza kushnikizwa yeye kung'oka!

Mie navyojua Jedwali La RA hakuna mtu ambaye anaweza kuruka,hasa wale wapambanaji wote walioko Juu..Ni watu wachache kama Mzee Mwanakijiji(atakuwa kwenye Jedwali lingine)!

Waandishi wengi wa Habari wa Tanzania wanasumbuliwa na Njaa tu na umasikini sababu ya elimu zao za ovyo na hawana uwezo wa kujijngea kimaendeleo!Kila siku kujipendeke za kwa wakurugenzi wa makampuni wawe wanaandika habari zao.The same the do kwa viongozi wa Serikali!

Mie sielewe,wakati mwingine nahisi inawezekana ule Mwenge wa Uhuru uliharibu akili za WAtanzania Wengi!Haiwzekani leo wazee sijui wa bukuba ,dodoma na mikoa mingine wawe na njaa na Bado wanasema Wanafurahia utawala unaolalamikiwa!

za mwizi ni arobaini.... arobaini ya Rostam Azizi inakaribia kwa kasi sana kuliko washauri wake wanavyomwambia.
 
Kwa vile tuko kwenye suala la uraia, hivi RA alipofikisha umri wa miaka 18 aliomba uraia wa Tanzania? Lakini pia alikuwa Tanzania wakati huo na wapi? Kama hakukana uraia wazazi wake ni lini yeye aliupata uraia wa Tanzania? Yawezekana aliomba uraia baada ya kugombea ubunge na kushinda?

Maswali haya nimeulizwa na miye nauliza..
 
Kwa vile tuko kwenye suala la uraia, hivi RA alipofikisha umri wa miaka 18 aliomba uraia wa Tanzania? Lakini pia alikuwa Tanzania wakati huo na wapi? Kama hakukana uraia wazazi wake ni lini yeye aliupata uraia wa Tanzania? Yawezekana aliomba uraia baada ya kugombea ubunge na kushinda?

Maswali haya nimeulizwa na miye nauliza..
kaaz kwel kwel!....
 
Tuanzie na haya.....wazazi wake ni nani na nani?.....wako wapi?....je wao waliomba uraia?....
 
Sio RA pekee, wapo kina Abuud, Sadiq,Dweji hao wote waliukana uraia wao lini, mwenzao Bashe kaleta vidhibithisho vya kuukana uraia wake na kujiita mnyamwezi wao je ni walugulu, wanyamwezi au wanyiramba? CCM zaidi ya uijuavyo.
 
RA kwao ni pale Mwisi, Igunga. Mliowahi kupanda mabasi ya MAMLO enzi hizo mtawafahamu ndugu zake. Ileteni kwanza sheria ya URAIA wa NCHI yetu halafu ndipo tulijadili kwa kina na mwelekeo sahihi suala hili.
Waarabu na WaIran wa Tabora tunao wengi tu.
 
Tanzania kila kitu kinawezekana.
Just imagine wewe Mtanzania Upo India au Iran na unataka kugombea ukatibu kata(achilia mbali Ubunge) hali itakuwaje.
Lakini hapa kwetu ili mradi mtu awe na pesa. RA aligombea ubunge hata kiswahili(Lugha ya Mtanzania) kilikuwa kinampiga chenga.
 
mtakuja kuhoji na biashara yao ya ''familia'' ya ngozi
 
Haiwezekani...ina maana akina Chiligati hawalifahamu hili????

Wanajua vizuri sana...ila njaa ndio inawafanya wanyamaze....marehemu Azzan Al-Jabry ndio alimleta huyu mtu CCM baada ya kufariki Charles Kabeho....taarifa zangu ni kuwa aliingia Tanzania 1979 na hajawahi kuomba uraia ila ana cheti cha kuzaliwa na Passport (tena Diplomatic) vyote vya Tanzania...kapewa na nani?...bado nafuatilia
 
RA kwao ni pale Mwisi, Igunga. Mliowahi kupanda mabasi ya MAMLO enzi hizo mtawafahamu ndugu zake. Ileteni kwanza sheria ya URAIA wa NCHI yetu halafu ndipo tulijadili kwa kina na mwelekeo sahihi suala hili.
Waarabu na WaIran wa Tabora tunao wengi tu.

Mkuu someone will aslo say the same kwa Bashe, kwamba kwao ni pale Nzega. Nachokishangaa kuhusu RA ni kwa inakuwaje huyu jamaa historia yake haieleweki eleweki? Hakuna siku CCM imewhi kutoa maelezo pamoja na vyombo vya habari kuwahi kuandika suala hilo mara kadhaa. Tukumbuke CCM kupitia Makamba au Kingunge wamekuwa wakijaribu kutoa ufafanuzi japo wa kupindisha anytime viongozi wa chama chao wanapotuhumiwa.Vilevile hata yeye mwenyewe pamoja na kujaribu kulielezea hili kipindi kile anarushana roho na Rev. Mtikila ilikuwa juu juu tu!
 
...baadae mtahamia kwa MO....!
maanake na yeye anadai ni MSINGAPORE(m-singida)
 
Rostam,
huyu mtu ni kielelezo cha nchi yenye double standard ya sheria na haki, huyu hakuwahi kuukana uraia wake wa Iran.
kwa sababu hajagombana na mwanafamilia yoyote ya Kikwete , basi swala la uraia wake ni tatizo, si kitisho kwa ustawi wa Taifa.
kila mtu anapigwa butwaa , kumuona huyu jamaa uraiani kufikia leo, amehusika na kila uchafu katika scandal zoote Tanzania, hatua kwa hatua , ameshiriki kuifilisi nchi hii, Historia ya maisha yake , imejaa uchafu wa kila aina.
Utajiri wake , umegubikwa na damu za mamia ya Watanzania waliokufa zama za unyonyaji wa Utumwa ambapo , baba na babu zake walishiri ipasavyo.
Huyu ni muharifu kwa wahalifu wengine.
 
RA kwao ni pale Mwisi, Igunga. Mliowahi kupanda mabasi ya MAMLO enzi hizo mtawafahamu ndugu zake. Ileteni kwanza sheria ya URAIA wa NCHI yetu halafu ndipo tulijadili kwa kina na mwelekeo sahihi suala hili.
Waarabu na WaIran wa Tabora tunao wengi tu.

sema hivyo hivyo.. wenzio wameshajaribu hivyo tukatawabana hawakurudi baada ya kutuahidi kuwa wanaenda Mwisi kutuletea taarifa zaidi. Angalau Bashe CCM wanakiri alizaliwa Tanzania, hakuna mwana CCM yeyote mwenye akili nzuri anayeweza kusema RA alizaliwa Tanzania; NONE!
 
Kwa vile tuko kwenye suala la uraia, hivi RA alipofikisha umri wa miaka 18 aliomba uraia wa Tanzania? Lakini pia alikuwa Tanzania wakati huo na wapi? Kama hakukana uraia wazazi wake ni lini yeye aliupata uraia wa Tanzania? Yawezekana aliomba uraia baada ya kugombea ubunge na kushinda?

Maswali haya nimeulizwa na miye nauliza..

Maralia sugu anaweza kutusaidia kujibu haya maswali.
 
...baadae mtahojiwa NINYI....!
kwamba ''huko mliko'' mmeukana URAIA WENU?
:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
wazazi wake ni wa Iran na wako Iran.. na hawajawahi kuwa raia wa Tanzania; ndivyo habari zilivyo...

Kwa kumbukumbu tu huyu bwana hakuzaliwa TZ ni alikuja tu huko Igunga kwa Uncle wake.

Wajua nchi yetu ina walowezi wengi tuuu ni kuwa Serikali yetu haiko makini kiutendaji esp mambo ya Uhamiaji ni kumekalia siasa na njaaaa zisizo na mwelekeo

 
...baadae mtahojiwa NINYI....!
kwamba ''huko mliko'' mmeukana URAIA WENU?
:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:

kweli..siku tukitaka kugombea uongozi wa Tanzania au kushika nafasi yoyote ya umma tutatakiwa kuhojiwa na kutoa majibu ya maswali hayo.
 
Kwa vile tuko kwenye suala la uraia, hivi RA alipofikisha umri wa miaka 18 aliomba uraia wa Tanzania? Lakini pia alikuwa Tanzania wakati huo na wapi? Kama hakukana uraia wazazi wake ni lini yeye aliupata uraia wa Tanzania? Yawezekana aliomba uraia baada ya kugombea ubunge na kushinda?

Maswali haya nimeulizwa na miye nauliza..

RA hajawai kuukana urai wake wa Iran kinachofanyika ni kwamba kwa sababu ya nguvu ya pesa zake CCM wananyata

Jana nilikuwa naongea na rafiki wangu wa Igunga akaseme kipindi ROSTAM anakuja Ingunga kuna SEHEMU ILIKUWA NI POLI,

RA alivuta umeme na kujenga nyumba kwa sehemu hiyi hiyo ya poli na kusema hapa ndo wazazi wangu walipotoka,

Hebu Jiuliza kwani Watanzania asili ya Kiesia(kwa mjibu wa wenyewe) mfano mtu anaitwa Hussen Imran ndo jina lake lakini utasikia anaanza kujiita HUSSEN IMRAN DEWJI eti kwa sababu MO..... Dewji ni mzaliwa wa Iringa

Kweli Mo... ni mzaliwa wa Iringa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom