Naona kichefuchefu mtu anapoitaja Clouds FM eti ndio imefanya breaking news, wakati humu JF kuna thread ina page 15 kuhusu hilo!CCM - c wako nyuma sana, hii new sisi wana JF tumeipata masaa matatu yameshapita duh.
yupo na ID ya JeniferMalaria sugu yuko wapi?
Kuna wapuuzi wanashangilia huyu jamaa kujiuzulu..mmesoma na kuelewa? hajajiuzulu kwa sababu yeye ni gamba...amesema amejiuzulu ili kuachana na siasa uchwara,na si kweli kwamba yanayosemwa juu yake yana ukweli...na nilipost awali huyu anaweza kujiuzulu kwa agreement na JK lakini sio Chenge na Lowassa na nyie mnaoshangilia kujiuzulu kwake hamjui nini kinafuatia mbele poleni...
22222222222222222222222222222222
Ingekuwa tetesi hisingekuwa na taarifa yake ya habari kwa wazee wa TBR! labda mseme uongo siyo tetesi
nafasi zangu zote za uongozi ndani ya chama, nikianzia na ile ya ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa nikiuwakilisha Mkoa wa Tabora na hii ya ubunge wa Igunga[/B] ambazo kama si kwa baraka za chama changu nisingelikuwa nazo.1605]Hizo nyadhifa ni za ccm pekee au na Ubunge anautema?
Wakuu hebu someni mafanikio ya RA igunga
"Miongoni mwa mafanikio makubwa tuliyoyafikia kupitia ushirikiano wetu na uongozi wa pamoja ni kwamba, mwaka 1994 Igunga ilikuwa ni wilaya ya mwisho kwa maendeleo mkoani Tabora lakini leo ndiyo ya kwanza, taa za barabarani, bima ya afya kwa kila kaya, zahanati kila kijiji na shule nyingi kuliko idadi ya kata zilizomo kwenye wilaya."
Hongera Rostam Aziz, una tuhuma nzito nyingi tu, lakini kwa hili nakupongeza ndugu yangu.
Asante Rostam kwa unyenyekevu wako.............Wanajamvi:
Habari za kuaminika ni kwamba Rostam Azizi asubuhi hii atatangaza kujivua gamba rasmi katika mkutano na waandishi haabari Tabora. Anajiuzulu nyadhifa zote nakubakia na kadi ya CCM tu.
UPDATE:
Alichoongea ni hiki chini:
HOTUBA YA MHE. ROSTAM AZIZ KWA WAZEE WA IGUNGA - TABORA
UTANGULIZI
WAZEE wangu,
Kwa hiyo mbunge akiibia serikali na kwenda kuwekeza na kuleta maendeleo jimboni kwake ni kitendo cha ushujaa?Wakuu hebu someni mafanikio ya RA igunga
"Miongoni mwa mafanikio makubwa tuliyoyafikia kupitia ushirikiano wetu na uongozi wa pamoja ni kwamba, mwaka 1994 Igunga ilikuwa ni wilaya ya mwisho kwa maendeleo mkoani Tabora lakini leo ndiyo ya kwanza, taa za barabarani, bima ya afya kwa kila kaya, zahanati kila kijiji na shule nyingi kuliko idadi ya kata zilizomo kwenye wilaya."
Hongera Rostam Aziz, una tuhuma nzito nyingi tu, lakini kwa hili nakupongeza ndugu yangu.
Mchunie tu huyo arafa,halafu anajiona mjanja sana,ndio maswala ya kukurupuka haya.Usidandie gari kwa mbele, watakucheka...!!
Yani miaka 16 kashikilia jimbo yeye tu?!Inabidi kuwe na sheria ya kuwalimit watu na madaraka.Maana kwa style hii hamna kitu kitakaa kibadilike...gamba linakua mpaka linakomaa ndo wanajifanya kulivua.