Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Rostam Aziz aachia ngazi CCM



Pia,nimtahadharishe Bashe,asije akawa na wazo la kugombea Igunga akitazamia kupata sapoti kutoka kwa Rostam Aziz,atakuwa amejizika kisiasa.Ana haki ya kugombea kikatiba though lakini angalie dhamira yake.

Mkuu umenikumbusha bifu yake na Kigwangalla ambapo Bashe ame declare:

"Wapo wanahabari waliokuwa wananieleza juu ya mipango hii mliokuwa mnaifanya na ilifahamika mapema ,but I said to my self sijajiunga CCM kwa ajili ya UBUNGE tu nitagombea nitashindwa nitakatwa lakini nitabaki ndani ya CCM kutimiza wajibu wangu,na unafahamu hili kwa 2015 u will face me again if god wish,politically u have never been threat to me jimbo la nzega ninafahamu mtu pekee ambae ninaamini ni threat kwangu ni LUCAS LUMAMBO SELELII not you."

Kwa vile ameshamwambia Kigwangalla he will face him again 2015, then he should better stick with that. Akibadilisha na kuamua kugombea sasa Igunga, badala ya kusubiri mpaka 2015 ili agombee Nzenga, then probably that will be the end of Bashe in politics.
 
Hivi kwanini ameanza kuongea na Wazee wa Igunga kabla ya kumjulisha mzee wa kaya??sasa kama mzee wa kaya akimbeba na kumwambia usiache ubunge itakuwaje?? Haa JK kwa kuwabeba mafisadi we acha tu.....

Zitto Kabwe u can get smthng from here, manake naona ww ni kbaraka mkubwa wa hawa mafisadi...na kuna kauli hapa kwamba JK akinyofoka madarakani na ww huna chako, utaanza kuwaheshimu viongozi wako!! WE endelea kula sahani moja na JK tu!! Nyakati zinasomeka now!!
 
Huyu jamaa mjanja sana

ameshaitamani hii nchi mpya

Rostam Aziz new destination is Republic of South Sudan

LAT Mchungaji nina offer ya kwenda kufungua makanisa huko! Ila shida yangu siko mweusi kama wa Sudan
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Kwangu ni bure kama hataburuzwa mahakamani kujibu tuhuma juu ya mikashfa haswa Kagoda..yatabaki yaleyale ya mafisadi mapapa yanakula afu eti yaachia ngazi na kibaka anachomwa moto..
 
Sijui kama SISiemu wanamuelewa huyu jamaa vizuri. Anaonekana kama vile anataka kuhamia SUDAN KUSINI kabla hajarudisha pesa zetu za KAGODA NA MEREMETA. Nini kujivua gamba avue hata mwili.
Sisi hatumtaki yeye tunachotaka ni pesa yetu TU.
 
Ndio inatangazwa kuhusu kuachia ngazi kwa rostam ila kuna kelele hawasikiki vizuri
 
kuna ukweli juu ya hii taarifa au ndio pwapwaa jamvini wakuu, maana hotuba haina hata jina wala saini yake!!!!!
 
bado chenge naye aachie gamba.

hongera ccm lini mbowe atavua magwanda kwa kukataa kulipa pesa za maskini alizokopa.
 
hivi jamani mmesoma habari yenyewe???
mbona kasema amejiuzulu hata ubunge???
kumbe ndo maana watu wanasaini mikataba bila hata kuisoma.

aisee nimeipenda hii, nafikiri hili tulitangaze kama janga la kitaifa.
 
Hii si tetesi tena sikiliza clouds fm right now jamaa annajivua vyeo,audience full kupiga kelele
 
Haisaidii si tunataka chama chote cha magamba kiachie ngazi haraka nchi ishwashinda hii.
 
Okey, Ndo magamba yanadondoka au??, Endelea Kutuhabarisha
 
Back
Top Bottom