Mkuu ES,
Naomba nikuulize kaswli kadogo tu. Assume wewe ni mwalimu na upo darasani unawafundisha wanafunzi namna ya kusolve swali moja la hesabu, then anatokea mmojawapo wa wanafunzi anasimama na kusema mwalimu unavyofanya sio sahihi? Je utampa nafasi huyo mwanafunzi aonyeshe njia yake ilivyosahihi au utamfukuza darasani?
Mkuu Nyangumi,
Ya Mungu ni ya Mungu nayo ni kwamba Rostam ni kiumbe chake mwenye ahki ya kufanya aonavyo bila kuvunja sheria za nchi, lakini ya dunia ni kwamba Rostam ni fisadi na hasa Lowassa aliyetayarisha huu mchezo mzima, sasa wanapokwenda kujaribu kuyanunua makanisa huenda wanatumiwa na Mungu kuyanunua makanisa ya shetani hayo ni ya wana-dini hayanihusu hapa,
Sisi wananchi hapa our interest ni Rostam fisadi kwenda kutoa sadaka katika kanisa ambalo Spika ni mmoja wa wazee wa kanisa lile, that has nothing to do na dini, now that is our problem yaani wananchi na taifa letu kwamba kwanini hawa wawili wana kiburi namna hii?
Lowassa in private anadai liwalo na liwe lakini atakuwa tu president wa nchi yetu, I mean na hizi ndio kampeni zenyewe alianzia jimboni kwake sasa inahamia kila kona and the man is coming bro, sasa swali ni tunafanya nini as a nation na hawa watu?
Hii ishu ingekuwa na maana sana kama hawa mafisadi wangechukuliwa hatua za kisheria, naona tunakesha tukijibishana kwa hoja nyingi tofauti, swali ni kwanini hawakamatwi? angekuwa mlalahoi kachomoa baiskeli au sufuria la mtu mda huu angekuwa ameishaivia keko.
Nakumbuka Rev. Kishoka alituonya juu ya mahusiano ya karibu kati ya Askofu Mkuu Malasusa na Lowassa. Naomba huyu mkuu wa kidini atafutwe na kuwekwa kiti moto tujue msimamo wake juu ya hivi vya kaizari inavyoonekana kuviweka mbele sana.
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=240548#post240548
Hela chafu itabakia kuwa chafu. Ukiipokea wakati mwingine yaweza kukutia nuksi tu. Lakini simhukumu mheshimiwa moja kwa moja ingawa sijui kama naye ni muumini wa KKKT au kakaribishwa kwakuwa 'anazo' ili awe mwezeshaji kwa shughuli ya kwaya naye akaamua 'kutuma salaam' kwa kumalizia ili waumini waifanye kazi ya kuiombea nchi...!
Angerahisisha angetutajia mchawi nani... Fuatilia Majira la kesho kwa habari zaidi
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),Dayosisi ya Mashariki na Pwani, limetoa taarifa likimkana Rostam Aziz kwa kudai kwamba kanisa halikumualika rasmi kwani aliyemualika hakuwa na mamlaka ya kufanya hivyo na hakufuata taratibu zilizowekwa na kanisa hilo.
Katibu Mkuu wa Kanisa hilo, Balozi Richard Mariki, ndiye aliyesaini taarifa hizo zilizowaomba radhi waumini na watu wote waliokwazwa na taarifa za Rostam kutumia kanisa kujisafisha.
"KKKT na wale wote wenye mapenzi mema na nchi yetu ambao kwa namna moja au nyingine wamekwazwa na tukio hili. Jukumu la Kanisa ni kuokoa roho za watu na si kukumbatia mafisadi na wala rushwa." inaeleza sehemu ya mwisho ya taarifa hiyo ya KKKT.
Mhhh!! Hapo ni kama wememhukumu mtu wakati sio kazi ya kanisa kufanya hivyo. Unless kama hawakutamka hivyo, otherwise hilo tamko lina walaakini.
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),Dayosisi ya Mashariki na Pwani, limetoa taarifa likimkana Rostam Aziz kwa kudai kwamba kanisa halikumualika rasmi kwani aliyemualika hakuwa na mamlaka ya kufanya hivyo na hakufuata taratibu zilizowekwa na kanisa hilo.
Katibu Mkuu wa Kanisa hilo, Balozi Richard Mariki, ndiye aliyesaini taarifa hizo zilizowaomba radhi waumini na watu wote waliokwazwa na taarifa za Rostam kutumia kanisa kujisafisha.
"KKKT na wale wote wenye mapenzi mema na nchi yetu ambao kwa namna moja au nyingine wamekwazwa na tukio hili. Jukumu la Kanisa ni kuokoa roho za watu na si kukumbatia mafisadi na wala rushwa." inaeleza sehemu ya mwisho ya taarifa hiyo ya KKKT.
Taarifa hii haijakaa sawa. Hawezekani Balozi Mariki akawa Katibu Mkuu wa KKKT,nadhani atakuwa katika kamati mojawapo. Pili, sidhani, mtu kama Mariki ataweza kutoa tamko la kutoa hukumu. He should know better! But anything is possible in Bongoland.
Taarifa hii haijakaa sawa. Hawezekani Balozi Mariki akawa Katibu Mkuu wa KKKT,nadhani atakuwa katika kamati mojawapo. Pili, sidhani, mtu kama Mariki ataweza kutoa tamko la kutoa hukumu. He should know better! But anything is possible in Bongoland.