Rose1980

Rose1980

MMU Kwishney!!! Leo hakuna kitu kabisa kule kumepoa.

Halafu thread ya MMU inaboa imekwenda wapi??
mimi nitakuwa nakwenda kugonga senks tu halaf nalejea chit chat. ile sredi wameifuta kwasababu wamegundua kwamba hilo jukwaa linaboa kweli. huyo husninyo wenyewe aloanzisha sredi anaboa vile vile lakini tunamgongea senksi kwavile tuna maslahi binafsi na yeye tu.
 
inaonekana alikuwa anakukonga sana kale kajicho kake ndio maana unajua na kukupunga ni tangu lini amepotea.
Inapendeza sana tukiwa tunajariana kiasi hicho.
mkuu mambo ya Man sijana? huyu dada sijamuona zaidi ya mwezi sasa
 
hatimae rose karudi, leo nimemwona alikuwa loliondo kwa babu

karibu sana swthat ingawa hukuniaga
 
Kloro nakusubiri room 108.....usichelewe basi...manake mashalobaro hamjui ku-keep time!!!
 
Kloro nakusubiri room 108.....usichelewe basi...manake mashalobaro hamjui ku-keep time!!!
heheh ushahama tandale? gesti za tandale zinaharibu ngozi bana, yaani unakwenda gesti uvae overall kama unakwenda gereji
 
heheh ushahama tandale? gesti za tandale zinaharibu ngozi bana, yaani unakwenda gesti uvae overall kama unakwenda gereji
acha dharau miaka yote saba....leo ndo unajua zinaharibu ngozi? sasa ole wako uchelewe zaidi...muone kwanza :smash:

halaf michelle akilog out nitakuwa na maongezi na wewe.
Husninyo,leo si log out.....:washing::hatari:
 
acha dharau miaka yote saba....leo ndo unajua zinaharibu ngozi? sasa ole wako uchelewe zaidi...muone kwanza :smash:


Husninyo,leo si log out.....:washing::hatari:
naskia Ben yuko na malaria +5 imempanda kichwani mida hii, na inasemekana source ni ile date yenu ya hizo gesti za uswahilini. sikuji labda unibake
 
Back
Top Bottom