Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 274
Rose1980: namkumbuka sana huyu dada knye michango yake mizuri sana, muda mrefu sijamwona na kajicho ka kukonyeza naomba mwenye taarifa zake atujuze au kama kala ban tujue au yupo na id nyingine tujue naumia kutokujua alipo, najua hili ndio lilikuwa jukwaa lake.