AmenBest songs from Rose
1:woga wako ndio umaskini wako
2: Facebook
3:Ni wewe!
Mwenyezi Mungu amzidishie nguvu na ujasiri wa kuendelea kutuburudisha
Nafikiri uko kwenye evolution stage.unatoka kwenye dini unaelekea kwenye IMANI ambayo ndiyo msingi wa mahusiano.Pamoja na kwamba mimi ni Muislam, nampenda sana Rose Muhando. Yani nampenda kuliko ninavyoweza kuelezea.
Hakuna album wala wimbo wake ambao haupo katika simu yangu.
Hizi ni nyimbo zangu bora zaidi kutoka kwake...
1. Mteule uwe macho: Huu wimbo nahisi alisaidiwa na malaika kuuandika, ujumbe na vingi alivyoimba vinatokea hii leo!
Yalikuwa maono. Huu ndio wimbo wangu bora wa muda wote wa injili.
2. Kumbe ndivyo ulivyo: Huu wimbo nikiusikiliza huwa hadi nalia, aliimba kwa hisia kali na ni wimbo wa faraja. Nyakati
zangu za huzuni huwa nausikiliza sana.
3. Akina mama: Huku wanawake tumechambwaaaa, ila una mafunzo na nitayazingatia. Lol
4. Nakaza mwendo: Ni wimbo uliojaa matumaini na kutokujali sana ya dunia, naupenda.
5. Nibebe: Nafikiri huu ndio wimbo mkubwa zaidi kutoka kwake, ulikuwa ufunguo wake kimataifa. Ujumbe wake
sidhani kama nahitaji kuuelezea. Una majonzi ya uchungu wa usaliti kutoka kwa watu wa kuaminika.
6. Ee Mungu nitakushukuru: Huu wimbo huwa nausikiliza kila ninapohitaji kujikumbusha ukubwa wa Mungu na kuomba
kwake busara na hekima.
Dah unazikumbuka vizuri nyimbo zake. We itakua sio muislamu kiviiile.Pamoja na kwamba mimi ni Muislam, nampenda sana Rose Muhando. Yani nampenda kuliko ninavyoweza kuelezea.
Hakuna album wala wimbo wake ambao haupo katika simu yangu.
Hizi ni nyimbo zangu bora zaidi kutoka kwake...
1. Mteule uwe macho: Huu wimbo nahisi alisaidiwa na malaika kuuandika, ujumbe na vingi alivyoimba vinatokea hii leo!
Yalikuwa maono. Huu ndio wimbo wangu bora wa muda wote wa injili.
2. Kumbe ndivyo ulivyo: Huu wimbo nikiusikiliza huwa hadi nalia, aliimba kwa hisia kali na ni wimbo wa faraja. Nyakati
zangu za huzuni huwa nausikiliza sana.
3. Akina mama: Huku wanawake tumechambwaaaa, ila una mafunzo na nitayazingatia. Lol
4. Nakaza mwendo: Ni wimbo uliojaa matumaini na kutokujali sana ya dunia, naupenda.
5. Nibebe: Nafikiri huu ndio wimbo mkubwa zaidi kutoka kwake, ulikuwa ufunguo wake kimataifa. Ujumbe wake
sidhani kama nahitaji kuuelezea. Una majonzi ya uchungu wa usaliti kutoka kwa watu wa kuaminika.
6. Ee Mungu nitakushukuru: Huu wimbo huwa nausikiliza kila ninapohitaji kujikumbusha ukubwa wa Mungu na kuomba
kwake busara na hekima.
Kama islamic ni dini ya kweli, mbona kuna wasio waislamu 5.2b duniani, kwanini wasimuamini Allah kama hao 1.8b?Kama ukristo ndo dini ya kweli mbona kuna waislamu 1.8b duniani, kwanini na wao wasimuone yesu kitandani kama rose?
Tuwe tunajiuliza haya maswali
Rekodi miziki ya kijanja ili washamba wenzie Rose wajifunze ujanjaPamoja na kwamba Mimi ni mkristo Tena niliyebatizwa, lakini Huwa naona Ngoma za Rose mhando zimekaa kishamba sana,Ile misuli yake inavyomkaza ni kama inaongeza Ile Hali ya ushamba!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
God is good all the time