kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Malkia wa muziki wa Injili Rose Muhando amerudi kwa kasi ya 5G huku akitajwa kuwa ni msanii namba moja wa injili kwa sasa Tz
Album yake ya Secret agenda imetikisa kwa kufanya vizuri sana sokoni huku akineemeka kwa mamilioni ya viewers huko Youtube
Nyimbo zinazofanya vizuri kwa sasa ni Secret agenda iliyobeba jina la Album, Tuipakue, Siki na fongo na nyimbo inayoitwa "Kama mbaya mbaya tu".
My take:Sikuwahi kuamini msanii akiporomoka kama anaweza kurudi kwenye chati hivi, huyu mwanamama ana karama ya kipekee kuna la kujifunza kutoka kwake na wasanii wengine wote ambao ndo wanataka kurudi kwenye game
Rose muhando ni msanii pekee ambaye alipotea kwenye game ndo amerudi na moto ule ule na kubaki namba moja....
Album yake ya Secret agenda imetikisa kwa kufanya vizuri sana sokoni huku akineemeka kwa mamilioni ya viewers huko Youtube
Nyimbo zinazofanya vizuri kwa sasa ni Secret agenda iliyobeba jina la Album, Tuipakue, Siki na fongo na nyimbo inayoitwa "Kama mbaya mbaya tu".
My take:Sikuwahi kuamini msanii akiporomoka kama anaweza kurudi kwenye chati hivi, huyu mwanamama ana karama ya kipekee kuna la kujifunza kutoka kwake na wasanii wengine wote ambao ndo wanataka kurudi kwenye game
Rose muhando ni msanii pekee ambaye alipotea kwenye game ndo amerudi na moto ule ule na kubaki namba moja....