Umefanikiwa kuroot?


  • Total voters
    23
sijawahi kuroot simu, sitakaa, na sitaki.
kwangu naona haina maana.
swali: nikiroot simu nitapata free internet mpaka simu itakapoharibika au kupoteza?
 
sijawahi kuroot simu, sitakaa, na sitaki.
kwangu naona haina maana.
swali: nikiroot simu nitapata free internet mpaka simu itakapoharibika au kupoteza?
Mkuu inabidi ujue maana ya kuroot simu,kama wewe ni mpenzi wa teknolojia lazima utaujua umuhimu wa kuroot.

Smartphone inaweza fanya mengi lakini isipokua rooted inakua limited kama unatumia computer utajua tofaut kati ya administrator na guest user ivo ndivyo ilivyo kwenye sim,ikiwa rooted unakua administrator user isipokua rooted unakua guest user ni kama kumiliki gari afu ukaendeshwa iyo ndo sim isiyo rooted au ukaendesha gari mwenyew iyo ndo kuroot

So kuroot ni kuchukua control ya simu ili kufanya customization na modification vile unavotaka wewe simu iwe na sio kwamba unapata bando la free internet au dakika za kupiga mitandao yote au sms mpaka simu yako iharibike
 
Acha kabisa Asee hii kitu upande wang ndio the best rooting method sababu kubwa ni modules zake pamoja na kua systemless kwamba haichange partition ya simu ivo baada ya kufanya tweaks unaweza unroot muda wowote bila shida
Wakuu nawapataje munisaidie, maana hapa naona mapichapicha tu yani sielewi kitu. Natumia Samsung Grand Prime Pro Android ni 7.7
 
Simshauri mtu ku root simu, maana mm yangu nimeroot hadi update siwezi kupata kwa OTA hadi utumie manual kwa computer.

Kuna changamoto kibao dah, nikitaka kufanya nambiwa simu yangu imekuwa modified in unauthorized ways, hii ni kwa Samsung
 
Mkuu usiseme humshaur mtu kuroot,,hizo challenge ulizokutana nazo ni bora ungeomba msaada jins ya kutatua kuliko kusema humshaur mtu...

Tunaoijua root huwez kutuambia kitu...nipo na magisk hapa,module kama zote
Simshauri mtu ku root simu, maana mm yangu nimeroot hadi update siwezi kupata kwa OTA hadi utumie manual kwa computer.

Kuna changamoto kibao dah, nikitaka kufanya nambiwa simu yangu imekuwa modified in unauthorized ways, hii ni kwa Samsung

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Jury
Kwanza asante ka kuweka somo zuri
La ku root.

Natumia simu ya zamani kidogo Samsung Note 3 Neo SM-750L (Korean Version).

Je hii naweza kuiroot kwa njia hiyo?
Niliwahi kuiroot siku za nyuma lakini nikakosa custom rom inayoendanda nayo
 
Mkuu usiseme humshaur mtu kuroot,,hizo challenge ulizokutana nazo ni bora ungeomba msaada jins ya kutatua kuliko kusema humshaur mtu...

Tunaoijua root huwez kutuambia kitu...nipo na magisk hapa,module kama zote

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana karoot bila kujua anachofanya,yote aliyosema ni kawaida kabisa kwa kila simu iliyo rooted na mtu anaejua raha ya kuroot anajua kuya overcome
 
Simshauri mtu ku root simu, maana mm yangu nimeroot hadi update siwezi kupata kwa OTA hadi utumie manual kwa computer.

Kuna changamoto kibao dah, nikitaka kufanya nambiwa simu yangu imekuwa modified in unauthorized ways, hii ni kwa Samsung
Ungefuatilia kwanza kabla ya kuroot,kama hujui unachokifanya utaichukia simu maana ukiriot hapo ni kama kampun la simu wamekukabidhi ufanye unachotaka na sio uwategemee hakuna barrier zozote
Kwa mtu anaependa teknolojia huo ndo mwanya wa kufanya maujanja yake yaan ku customize simu yake vyote ulivyosema ni kweli lakini vina tatulika

Kama imekuchosha unaweza unroot maisha yanaendelea
 
poposindege,
Ndio root kwa njia hii Inawezekana lakini kwa vile ni simu maarufu kuna njia nyepesi zaidi ya hii sababu officiall twrp tayari ipo,pia kama bado ipo kwenye stock basi ata app ya kingroot inaweza root.

Kuhusu custom rom zipo kuna lineage os. Pia si lazima uweke custom unaweza modify kwa kucheza na iyo stock
 
Ndio root kwa njia hii Inawezekana lakini kwa vile ni simu maarufu kuna njia nyepesi zaidi ya hii sababu officiall twrp tayari ipo,pia kama bado ipo kwenye stock basi ata app ya kingroot inaweza root
Kuhusu custom rom zipo kuna lineage os
Pia si lazima uweke custom unaweza modify kwa kucheza na iyo stock

Lineage Os inakubali kwa simu yoyote?
Na kucheza na Stock inakuaje?
Samahani kama nimeuliza maswali ya kitoto nataka kujua mkuu
 
Lineage Os inakubali kwa simu yoyote?
Na kucheza na Stock inakuaje?
Samahani kama nimeuliza maswali ya kitoto nataka kujua mkuu
Kuna version tofaut za lineage os kulingana na simu,Sio za simu zote lakini asilimia kubwa ni zile zenye majina maarufu kama samsung,nokia,sony,huawei,google pixel, xiaomi n.k

Hakuna rom inayokubali simu zote bila kufanyiwa modifications sababu ya compatibility kila simu ina drivers tofauti, so ili upate custom rom inatakiwa uchukua android open source ucompile na compatibility ya simu yako ambapo hii kaz developer weng ni wa nje ambapo simu maarafu zimetawala hivyo kupata custom za sinu kama tecno, itel, infinix ni tabu ukilinganisha na samsung n.k so njia nzur ni kucheza na stock rom

Hapo kwenye stock rom ukisharoot unaweka magisk na xposed framework unaanza kumodify kwa kutumia modules so hapo ni wewe na ubunifu wako kuifanya simu unavotaka iwe
 
Back
Top Bottom