aisee.. ngoja tuone inavyokwenda lakini inaonekana Obama anaweza kurudi kwani majimbo yote niliyoguess yanaweza kwenda kwa Romney bado hata moja halijaenda kwa Romney...
una mawazo ya kidikteta. hurusu mawazo mengine mbadala. utaumbuka na utabiri wako ambao huwa hautimii, sijui ulisoma chini ya embe au una undugu na pele ambaye utabiri wake huwa ni kinyume chake
aisee.. ngoja tuone inavyokwenda lakini inaonekana Obama anaweza kurudi kwani majimbo yote niliyoguess yanaweza kwenda kwa Romney bado hata moja halijaenda kwa Romney...
Msisahau hii thread inatabiri ushindi wa Romney!Mimi nimeshajiandaa kuwa very dissapointed Obama akishindwa!Ila i'm optimistic,ni very close but i have a feeling that tonight is gonna be a good night even if a long one.
aisee.. ngoja tuone inavyokwenda lakini inaonekana Obama anaweza kurudi kwani majimbo yote niliyoguess yanaweza kwenda kwa Romney bado hata moja halijaenda kwa Romney...
aisee.. ngoja tuone inavyokwenda lakini inaonekana Obama anaweza kurudi kwani majimbo yote niliyoguess yanaweza kwenda kwa Romney bado hata moja halijaenda kwa Romney...
bora umekiri we ni kilaza huweza kuwaza kwa kina. guessing zako sio za logic, ila ni kama za "tossing a coin" ambayo obvious haihitaji akili kujua a head or tail may appear