Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Bado hajasemA.... hatosema..na asiseme...
Akae kimya maisha yaendelee....ana familia mwenzenu..hiphop kitu gani banaa...nyinyi mtaishia tu kusema R.I.P Roma..muziki wako utakumbukwa daima na pengo lako halitazibika..halafu mtaendelea na maisha yenu wakati familia yake haitoona hilo pengo likizibwa wala hiyo Hiphop ikiwapeleka watoto shule...huo ndo ukweli ..
Mwacheni Roma afanye maisha yake..hilo fuko la siri libaki kifuani mwake limwelemee mpk siku anakufa lakini asilitue..hakuna atakayemsaidia Roma humu JF zaidi ya maneno tu kwa kutype kwa dole gumba au keyboards za PC huko maofisini..
[HASHTAG]#VIVAROMAVIVAAAAAA[/HASHTAG]
Akae kimya maisha yaendelee....ana familia mwenzenu..hiphop kitu gani banaa...nyinyi mtaishia tu kusema R.I.P Roma..muziki wako utakumbukwa daima na pengo lako halitazibika..halafu mtaendelea na maisha yenu wakati familia yake haitoona hilo pengo likizibwa wala hiyo Hiphop ikiwapeleka watoto shule...huo ndo ukweli ..
Mwacheni Roma afanye maisha yake..hilo fuko la siri libaki kifuani mwake limwelemee mpk siku anakufa lakini asilitue..hakuna atakayemsaidia Roma humu JF zaidi ya maneno tu kwa kutype kwa dole gumba au keyboards za PC huko maofisini..
[HASHTAG]#VIVAROMAVIVAAAAAA[/HASHTAG]