Roma aweka wazi kilicho mzimba mdomo, adai angesema yote leo asingekuwepo hai, ni zaidi ya mziki

Noah tu ilimkalisha Roma, defender si angeisha, ila uongo mbaya Roma kafanyiwa kitu mbaya sana, nilimsikiliza Jana eatv anavyojikanyaga,nimeelewa kwa nn Dr ulimboka kanyamaza mpaka Leo,nchi hii Noma sana
 
Angeendaje kulima baada ya kusema ukweli? Watu wangemsusia kazi zake za muziki au? Kwamba huo ukweli unatia kinyaa kuusikia? Kwamba haufai kusikilizika? Mh!!!! Mwee!!!
Ni wazi litakuwa ni jambo la aibu/fedheha kulisema.

Ukijiongeza utaelewa jambo hapa.
 
Nasikitika sana kuona akili kisude, nguvu pipa .kiukwel hii inaacha makovu miyon mwa watu ambayo kesho ndo.hayo yanayotokea kibiti inasikitisha sana.kwann wa vivu kufikiri katika ss katika kusolve mambo
 
Akili za wesenge watakaotawaliwa na mabashite milele.
Mwenye akili nyingi ngoja nikuulize Dk. Ulimboka yupo wapi sasa? Je wale daktari aliokuwa anawatetea wapo pamoja nae? Wanamsaidia kusomesha watoto wake? Je watoto wa Kamanda Mawazo R.I.P wanapata huduma zote kama vile ambavyo walikuwa wanapata wakati baba yao yupo hai? Je watoto wa mwandishi mwana harakati Daudi Mwangosi wanapata huduma kama enzi za baba yao? Ndio maana nikasema wewe ni mtoto. Kuna wakati mwingine hata watu mashujaa na jasiri kama Marehemu Fidel Castro walizidiwa nguvu ktk vita ya ubabe na silaha wakakimbia mapambano wakaenda kujipanga upya na mbinu mpya. Hata shujaa mpambanaji mwanamapinduzi ambae alikuwa han mipaka ya uzalendo alijiondoa vitani pale Congo DRC na kuondoka zake kwa vile aliona dhahiri hawawezi kushinda vita kwa mazingira husika. Kwa jinsi ulivyokimbilia matusi nikajua wewe ni akili ndogo na umri mdogo au na kama umri mkubwa basi shule yako ndogo sana. Kwa maana mwenye umri wa flani unaofikia walau miaka 30 na shule ipo kichwani hawezi kuporomosha mitusi na kuongea pumba namna ulivyoongea. Kwako wewe mtu kama haongei ukipendacho hata kama ni baba yako unawaita wasenge.
 
Ameliwa Jaza UJazwe,

Mpuuzi tuu huyu wangemrestisha tu Hana maana yoyote!
 
Roma ni mnafki tu, Unaamua kujifanya mwanaharakati na ubavu huna si ujinga huo!Eti busara ilitumika kumnusuru khaa, kubweka kote kila siku kulikua na maana gani? Ndio maana yaslwezekana kuna watu walisimamia misimamo yao mpaka leo hatuwaoni,Yuko wapi Ben saanane?
 
Mkuu ni rahisi kuongea hivyo huku umetulia kwa amani na simu yako au computer yako ukiwa umeshiba unashushia kinywaji hutafutwi wala kufuatiliwa na mtu mwenye nguvu ya kutoa roho yako. Ni rahisi kufanya hivyo kama huna watoto au ndugu ambao kula, shule, matibabu na maisha yao kiujumla yanategemea uwepo wako ukiwa salama bila ulemavu. Angefurahisha shabiki na homies wake wa Tanga kisha akauliwa au akapata ulemavu yeye na familia yake ingewasaidia nini?
Kila siku tunasema uoga ni adui mbaya sana. Huo mziki anaofanya hautoi nafasi kwa mtu aliye muoga, unahubiri ujasiri na jinsi ya kuondokana na mawazo mgando. Ni vyema akaachana na Hip Hop na kutafuta segment nyengine.
 
Back
Top Bottom