wOrM,
Endelea kumulika kaka, endelea.
Tatizo ni sisi wenyewe wananchi wa Tanzania, sio wahindi! Wahindi wanautumia tu ujinga wetu kwa faida yao!
Yea,Amini alitimua Waganda ambao leo wameendeleza baadhi ya miji hapa UK.Lakini je Uganda imemaliza tatizo la rushwa kwa kuwatimua hao Wahindi?Hata sie tuliwaweka ndani "wahujumu wa uchumi" zama hizo,lakini wewe na mimi tunafahamu bayana kuwa uhujumu uchumi umekuwa kwa zaidi ya asilimia 100 ulinganisha na zama hizo za vita dhidi ya wahujumu uchumi.Tatizo linaanzia mbali sana...mtu anyeingia madarakani kwa rushwa anakuwa na ndoa ya kudumu na rushwa.Unaposikia JK,Mtanzania mwenzetu na Rais wetu, akitamka kuwa anawafahamu wala rushwa ila anawapa muda wajirekebishe (pasipo kutoa deadline) basi ujue kuwa hata tukiwatimua wahindi kesho asubuhi bado tutaendelea kuwa na matatizo.Kwa kifupi,hakuna solution kwa vile kinachokosekana na moral obligations,na unaposkia akina Father Kimaro wanapelekwa jela kwa kwenda kinyume na maadili,huku makanisa na misikiti ikiwaka moto kwa kwa viongozi kushikana uchawi kuhusu "zaka",basi ujue kuwa hatuna pa kukimbilia kupata mwongozo wa kimaadili ya kiroho.sasa tuwafanye nini wahindi hawa kitu ambacho hatutawafanyia watu weusi wenzetu? Naogopa hata kufikiria. Nilikuwa Uganda wakati wahindi walivyoshambuliwa hivi karibuni, na ninakumbuka vizuri walivyotimuliwa na Amin.
Daily News On Saturday; Saturday,April 28, 2007 @00:05
A RESEARCH conducted recently has shown that only 40 per cent of people who keep bank accounts in Tanzania know how to use the Automated Teller Machines (ATMs) and their advantages.
The survey conducted last year by Finscope Tanzania, also reveals that more than 52 per cent of Tanzanians don't understand what a Bank's current account is. The investigation also revealed that more.......................................................