Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,869
- Thread starter
- #61
Asante ila naona unataka tuitafsiri Biblia kama novel na si kitabu kitakatifu chenye tafsiri za kiroho.. Nimekuwekea vifungu hivyo kama njia ya kupanua ufahamu... Vipo vingi kama chumvi ilitumika kutengeneza vingine kwanini isitumike kwenye maji?Mkuu mshana jr hapa tusidanganyane kabisa. Leviticus 2:13(WALAWI) inasema hivi; "Tena kila toleo la sadaka yako ya unga utalitia chumvi; wala usiiache sadaka yako ya unga kupungukiwa na chumvi ya agano la MUNGU w
Bado naomba niseme kuwa inawezekana kabisa hujaelewa dhana nzima ya uchawi na jinsi unavyofanya kazi... Kuogea maji ya chumvi sio uchawi ndugu yangu