The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,299
Huo ndo mtazamo wangu toka enzi za mwalimu kanda ya ziwa imeshikiria uhai wa CCM..
Kanda ya ziwa ni kuanzia Tabora. Mara, Kagera. Mwanza. Geita, Simiyu. Shinyanga na sasa Mpanda...
Sababu.
1. Wapiga kura wake ni wengi sana na wana msimamo.
2.wapiga kura kutoka ukanda huu
wametapakaa Tanzania nzima.
3. Viongozi kutoka ukanda huu
wanaaminika kwa watanzania
4. Viongozi kutoka ukanda huu
wana ushawahi mkubwa sana..
Siku kanda ya ziwa wamesema basi, ndo mwisho wa CCM ndiyo maana wanabembelezwa japo wameshachoka.
Kichwa amabacho kitegemewa kuongoza Tanzania ni mikoa yote kanda ya pwani na ndivyo wanavyojinasibu ndo maana hata dodoma makao makuu hawakutaka kwenda .
Ukweli ni kwamba hadi sasa wamesha prove kwamba vichwa hivi ni vibovu hakuna lolote vimejaa mawazo ya wizi tu....
Je kichwa bila roho kitaishi?
Kanda ya ziwa ni kuanzia Tabora. Mara, Kagera. Mwanza. Geita, Simiyu. Shinyanga na sasa Mpanda...
Sababu.
1. Wapiga kura wake ni wengi sana na wana msimamo.
2.wapiga kura kutoka ukanda huu
wametapakaa Tanzania nzima.
3. Viongozi kutoka ukanda huu
wanaaminika kwa watanzania
4. Viongozi kutoka ukanda huu
wana ushawahi mkubwa sana..
Siku kanda ya ziwa wamesema basi, ndo mwisho wa CCM ndiyo maana wanabembelezwa japo wameshachoka.
Kichwa amabacho kitegemewa kuongoza Tanzania ni mikoa yote kanda ya pwani na ndivyo wanavyojinasibu ndo maana hata dodoma makao makuu hawakutaka kwenda .
Ukweli ni kwamba hadi sasa wamesha prove kwamba vichwa hivi ni vibovu hakuna lolote vimejaa mawazo ya wizi tu....
Je kichwa bila roho kitaishi?