Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Maumbile chanzo au asili yake ni Mungu. Uthibitisho ni kwamba Yeye ndie amekiri kuwa chanzo kupitia nabii wake na hakuna mwingine.Nayaita Mungu wapi? Kivipi? Unajuamtu akiuliza hajasemawala kuita?
Hujayaita nini hivyo?
Nimeshakwambia sijui,utasemajenikikwambia sijui nakwepa swali?
Unataka nikudanganye najua kitu ambacho sijui?
Wewe maumbile chanzo chake ni nini na una uthibitisho gani kwamba ni hicho na ni hicho tu si kingine chochote asilani.
Kama wewe una asili nyingine kuipinga hii ya Mungu ilete hapa.