tejateja
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 1,619
- 969
Hicho kitabu sijakisoma bado, ila hayo mambo hakuna falsafa, au sayansi inayoweza kuyathibitisha hayo. Imani ni kubwa kuliko sayansi.Tafuta kitabu kinaitwa: The Philosophy of Teachings Of Islam cha M G Ahmad, ndani yake imetajwa roho ni nini, inaingiaje kwenye mwili, asili yake, mahusiano yake na mwili, wakati wa kifo inakuwa wapi, baada ya kuzikwa inafanya nini, zinaishi wapi baada ya kifo, athari za maisha ya dunia zikoje kwenye roho baada ya mwili kufa, roho itaishije bila mwili, siku ya kiyama maana yake nini, n.k vyote hivyo vimefafanuliwa na kujibiwa kwa undani sana kiasi ambacho huwezi kidoubt maisha baada ya kifo.