Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,356
- 1,161
Pia unapoongelea uungu katika wakristo wa kweli Utatu Mtakatifu ni jambo la kuzingatia na linalofanya uungu wa Yesu kutokuwa wa kutilia shaka wala wa kuquestion.
Hii ni moja ya jambo la msingi sana katika Ukristo. Mwisho kama mwana wa binadamu ni binadamu kamili na mwana wa Mungu ni Mungu kamili.
Hii ni moja ya jambo la msingi sana katika Ukristo. Mwisho kama mwana wa binadamu ni binadamu kamili na mwana wa Mungu ni Mungu kamili.