Roho inaniuma balaa, nimekumbuka hela zangu DECI

Roho inaniuma balaa, nimekumbuka hela zangu DECI

Baba V

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
19,479
Reaction score
9,548
Nilipanga mbegu DECI kama milioni nne hivi,kufikia leo sijui ningevuna ngapi jamaani, dah si bora ningeweka heshima TBL nikachangia pato la taifa, roho inauma
 
Hahahahah kumbe nawe walikushika masikio eeeeeh pole weye
Nilipanga mbegu DECI kama milioni nne hivi,kufikia leo sijui ningevuna ngapi jamaani, dah si bora ningeweka heshima TBL nikachangia pato la taifa, roho inauma
 
siamini kama nawewe walikuingiza mkenge tehtehteh sasa hivi mbegu ingejenga Mkapa Tower.
 
hela hazioti hata siku moja.....hata mm nilifanya makosa kupanda ile mbegu aise......
tupande miembe tu huko chanika!
 
hela hazioti hata siku moja.....hata mm nilifanya makosa kupanda ile mbegu aise......
tupande miembe tu huko chanika!

nimejifunza mkuu BAGAH nimejifunza aisee
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh kumbe DECI wali KUDIS..............!!:becky::becky::becky::becky::becky:
 
siamini kama nawewe walikuingiza mkenge tehtehteh sasa hivi mbegu ingejenga Mkapa Tower.

Asnam yaani we acha tu, nilivyoona ni wachungaji nikawaamini kumbe,! Yaani balaa
 
Last edited by a moderator:
Asnam yaani we acha tu, nilivyoona ni wachungaji nikawaamini kumbe,! Yaani balaa

walisema utawajua kwa matendo yao lakini umejifunza kutokana na makosa si mbaya ndo ulimwengu ulivyo.
 
Baba V pole zako, lakini subiri zinaweza zikaota, mbona hata wale walikuwa wanaomba ili mtu afufuke ilibidi wafanye subira, naye kuwa mpole uone mwisho.
 
Last edited by a moderator:
Baba V pole zako, lakini subiri zinaweza zikaota, mbona hata wale walikuwa wanaomba ili mtu afufuke ilibidi wafanye subira, naye kuwa mpole uone mwisho.

my dear Mamndenyi inahitaji imani kubwa sana,yaani zinaniuma aisee
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom