Rocky city mpo kweli?... Ebu jitokezeni!

Rocky city mpo kweli?... Ebu jitokezeni!

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,614
Nimekuwa nikiwatafuta members wa JF walioko jijini Mwanza bila mafanikio, hivi kweli mpo au? Nijuze wapi mwakutana w/end hii? Japo kesho nina kikao cha harusi pande za Nyegezi lakini nawezakuahirisha ili niweze kufahamina nanyi. Ebu jitokezeni na kama vipi ni-PM ili nipate namba zenu.

Nawashukuruni wote mtakaojitokeza kuitikia wito huu.
 
Tutor B mpaka leo hii hujapata member wenzako huko rock city haiwezekani?? ongeza bidii wapo wengi sana labda kama wanaamua kuuchuna.
 
Nimekuwa nikiwatafuta members wa JF walioko jijini Mwanza bila mafanikio, hivi kweli mpo au? Nijuze wapi mwakutana w/end hii? Japo kesho nina kikao cha harusi pande za Nyegezi lakini nawezakuahirisha ili niweze kufahamina nanyi. Ebu jitokezeni na kama vipi ni-PM ili nipate namba zenu.

Nawashukuruni wote mtakaojitokeza kuitikia wito huu.

villa park!
 
hawapo, na kama wapo basi ni MBULULA.

nafikiri we ni mburula mkuu! kauzu aliyekomaa.

kwanza unatambua humu JF wengi wao akiwemo wewe mnatumia majina yasiyo yenu.
watu wanaogopa sana,kwani kuna kikao kimoja pale mwanza cha baadhi ya wana JF walijikuta kati ya walioudhuria wapo watu wa TISS 5. na Arusha hivyo hivyo.

siku hizi watu wa TISS wanatumia ujinga kama wako kuwajua baadhi ya members.

Karibu mjini
 
Kwanza tunaomba ututake Radhi kwa kututusi, Inaonekana upeo wako wa kufikiri ni mdogo. Utawaitaje watu ambao huwafahamu MBULULA??

Kwa taarifa yako tulikwisha kutana na tukaanzisha umoja wetu, Na taarifa za vikao vyote tuliziweka hapa jukwaani.

Sina mengi ya kusema ila watakuja na wenzangu watasema. Ngoja nilale mie!

Aione mlezi wetu Arushaone, Mwenyekiti Rock City, wajumbe Elizabeth Dominic, ram, Gedeli, Home First, Think pad na beibe nasty ThinkPad
 
Last edited by a moderator:
hawapo, na kama wapo basi ni MBULULA.

Unawatafuta watu kwaajili ya kitu gani?Wanini?Ili iweje?Inaoneka una ubongo wa bata,unahangaika kuwatafuta watu wasiokua na shida na wewe!
 
Kwanza tunaomba ututake Radhi kwa kututusi, Inaonekana upeo wako wa kufikiri ni mdogo. Utawaitaje watu ambao huwafahamu MBULULA??

Kwa taarifa yako tulikwisha kutana na tukaanzisha umoja wetu, Na taarifa za vikao vyote tuliziweka hapa jukwaani.

Sina mengi ya kusema ila watakuja na wenzangu watasema. Ngoja nilale mie!

Aione mlezi wetu Arushaone, Mwenyekiti Rock City, wajumbe Elizabeth Dominic, ram, Gedeli, Home First, Think pad na beibe nasty ThinkPad
charminglady umesahau kunicopy mimi member wa heshima

ninapata wasi wasi kama Tutor B ndo huyu huyu au kuna mtu kaiba pwd yake?
 
Last edited by a moderator:
Unawatafuta watu kwaajili ya kitu gani?Wanini?Ili iweje?Inaoneka una ubongo wa bata,unahangaika kuwatafuta watu wasiokua na shida na wewe!

mkuu Eiyer hata mi nashangaa, mimi ni mgeni but nimeenda rock city nikala bata saana na wana JF RC wing, nashangaa huyu kuwakosa, there must be a problem somewhere, haiwezekani! ila kama maneno yenyewe ndo haya ya mbulula asitegemee kumwona mtu
 
Last edited by a moderator:
mkuu Eiyer hata mi nashangaa, mimi ni mgeni but nimeenda rock city nikala bata saana na wana JF RC wing, nashangaa huyu kuwakosa, there must be a problem somewhere, haiwezekani! ila kama maneno yenyewe ndo haya ya mbulula asitegemee kumwona mtu
Very true kwa ulichonena mkuu, ahsante mkuu Kaizer kwa ushuhuda huo.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza tunaomba ututake Radhi kwa kututusi, Inaonekana upeo wako wa kufikiri ni mdogo. Utawaitaje watu ambao huwafahamu MBULULA??

Kwa taarifa yako tulikwisha kutana na tukaanzisha umoja wetu, Na taarifa za vikao vyote tuliziweka hapa jukwaani.

Sina mengi ya kusema ila watakuja na wenzangu watasema. Ngoja nilale mie!

Aione mlezi wetu Arushaone, Mwenyekiti Rock City, wajumbe Elizabeth Dominic, ram, Gedeli, Home First, Think pad na beibe nasty ThinkPad
Ahsante sana kwa majibu mazuri, hebu pokea 'like' yangu charminglady
 
Last edited by a moderator:
Ukita kukutana na watu, toa full details zako na halisia ili wasipotee. mf,jina,mahala,time, kusidi/lengo,umuhimu.Pitia desa za communication skills
 
ni kweli my cousin hhuyo amekosea kuwatusi kiasi hicho aombe msamaha kwanza halafu ndo aanze kutafuta anachokitafuta poleni jamani, halafu yaelekea huyo ni TISS kuweni naye macho mtu huyo
Kwanza tunaomba ututake Radhi kwa kututusi, Inaonekana upeo wako wa kufikiri ni mdogo. Utawaitaje watu ambao huwafahamu MBULULA??

Kwa taarifa yako tulikwisha kutana na tukaanzisha umoja wetu, Na taarifa za vikao vyote tuliziweka hapa jukwaani.

Sina mengi ya kusema ila watakuja na wenzangu watasema. Ngoja nilale mie!

Aione mlezi wetu Arushaone, Mwenyekiti Rock City, wajumbe Elizabeth Dominic, ram, Gedeli, Home First, Think pad na beibe nasty ThinkPad
 
Wenzako tulikutana Chainese Restaurant, au ulikua hujanunua cmu?
 
  • Thanks
Reactions: ram

Similar Discussions

Back
Top Bottom