Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,614
Nimekuwa nikiwatafuta members wa JF walioko jijini Mwanza bila mafanikio, hivi kweli mpo au? Nijuze wapi mwakutana w/end hii? Japo kesho nina kikao cha harusi pande za Nyegezi lakini nawezakuahirisha ili niweze kufahamina nanyi. Ebu jitokezeni na kama vipi ni-PM ili nipate namba zenu.
Nawashukuruni wote mtakaojitokeza kuitikia wito huu.
Nawashukuruni wote mtakaojitokeza kuitikia wito huu.