Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
Kwanza tunaomba ututake Radhi kwa kututusi, Inaonekana upeo wako wa kufikiri ni mdogo. Utawaitaje watu ambao huwafahamu MBULULA??
Kwa taarifa yako tulikwisha kutana na tukaanzisha umoja wetu, Na taarifa za vikao vyote tuliziweka hapa jukwaani.
Sina mengi ya kusema ila watakuja na wenzangu watasema. Ngoja nilale mie!
Aione mlezi wetu Arushaone, Mwenyekiti Rock City, wajumbe Elizabeth Dominic, ram, Gedeli, Home First, Think pad na beibe nasty ThinkPad
Mpotezee huyo. Anadhani mlikuwa na ahadi hewa kama za kile chama cha rangi ya kijani kiitwacho CCM?