Rocky city mpo kweli?... Ebu jitokezeni!

Rocky city mpo kweli?... Ebu jitokezeni!

Nawaombeni mnisamehe kwa kutumia neno la utani kumbe nyie mmelitafisiri tofauti na mimi nilivyomaanisha.
Kwa wale mlojibu utani kwa matusi zaidi, nafikiri inanibidi niwaelewe kwamba mapokeo ya watu tofauti, kutofautiana ni jambo la kawaida.

Naamini mmenielewa na sitolitumia neno hilo tena. Ahsanteni sana!

tumekusamehe
ucrudie
tena.
 
Wana Rock City tpo wng sn JF...
Pamoja na kuomb msamaha unastahil upgwe faini kwa Lugha yko chafu...
Napatikana Mkuyuni..
 
nafikiri we ni mburula mkuu! kauzu aliyekomaa.

kwanza unatambua humu JF wengi wao akiwemo wewe mnatumia majina yasiyo yenu.
watu wanaogopa sana,kwani kuna kikao kimoja pale mwanza cha baadhi ya wana JF walijikuta kati ya walioudhuria wapo watu wa TISS 5. na Arusha hivyo hivyo.

siku hizi watu wa TISS wanatumia ujinga kama wako kuwajua baadhi ya members.

Karibu mjini
kwa haya macomment na mawe anayopigwa mwigulu si itakuwa balaaa huyu bwana naona katumwa maana humu ukiwa ---- watu wanakupa mazima , kuna mtu humu alimtukana hata waziri si unaona ni balaa
 
Mwanza wingi kijana mwenzenu nipo bugando nimefanyiwa operation juzi!!!!
 
Mi nipo kitangiri jiran kabisa na N hotel na Mornach hotel wakuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom