Rocky city mpo kweli?... Ebu jitokezeni!

Rocky city mpo kweli?... Ebu jitokezeni!

Duh wana rock cty (mwanza) kuwen makn msiende kchwakchwa wazee wa kung'oa meno na kucha wanataka kuwatambua..akili ni nywele kama mmenyoa zote mtajuta..kuwen makn na kucha na meno yenu yasjewapata ya ulmboka na kbanda

Hcha kuwatisha wenzako jamani, mi si wa hivyo
 
Nawaombeni mnisamehe kwa kutumia neno la utani kumbe nyie mmelitafisiri tofauti na mimi nilivyomaanisha.
Kwa wale mlojibu utani kwa matusi zaidi, nafikiri inanibidi niwaelewe kwamba mapokeo ya watu tofauti, kutofautiana ni jambo la kawaida.

Naamini mmenielewa na sitolitumia neno hilo tena. Ahsanteni sana!
 
Nawaombeni mnisamehe kwa kutumia neno la utani kumbe nyie mmelitafisiri tofauti na mimi nilivyomaanisha.
Kwa wale mlojibu utani kwa matusi zaidi, nafikiri inanibidi niwaelewe kwamba mapokeo ya watu tofauti, kutofautiana ni jambo la kawaida.

Naamini mmenielewa na sitolitumia neno hilo tena. Ahsanteni sana!

Ngoja kwanza tuwaite wana Wing ili tukae kama kamati ili kupokea msamaha wako....

Kujeni huku wana Rock City Wing... Rock City, ram, Homefirst, Elizabeth Dominic, ThinkPad, beibe nasty, Gedeli ili tukae kama kamati tujadili msamaha wa huyu ndugu!
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nimeshangaa sana, mara nyingi tunapishana hapa mtaani "JF" tunapeana hi ila nashindwa kuelewa kwanini katutusi kiasi hiko.... Au ndo alikuwa KERORO kwa bia za Lenana?????

Bila shaka huyu jaam tuto b atakuwa hana kichung. dma wanamtafta wamle
 
Mmeishakaa au bado, hata lunch siendi hadi nipate msamaha huu leo hii.

Bro! binafsi kauli yako haikunifurahisha,nilitaka niachie kitu ila nikawa mvumilivu,mi nipo hapa rocky city naishi kitangiri.Nimefurahi wana jf wamekushukia na umejishtukia na umeomba msamaha imenifurahisha kujitambua kuwa ulifanya kosa mchana mwema bro!
 
Nimekuwa nikiwatafuta members wa JF walioko jijini Mwanza bila mafanikio, hivi kweli mpo au? Nijuze wapi mwakutana w/end hii? Japo kesho nina kikao cha harusi pande za Nyegezi lakini nawezakuahirisha ili niweze kufahamina nanyi. Ebu jitokezeni na kama vipi ni-PM ili nipate namba zenu.

Nawashukuruni wote mtakaojitokeza kuitikia wito huu.

hua napatikana anga za shoterz kila wikiend
 
Bro! binafsi kauli yako haikunifurahisha,nilitaka niachie kitu ila nikawa mvumilivu,mi nipo hapa rocky city naishi kitangiri.Nimefurahi wana jf wamekushukia na umejishtukia na umeomba msamaha imenifurahisha kujitambua kuwa ulifanya kosa mchana mwema bro!

nashukuru kiongozi, mchana mwema na kwako pia, niko Nyakato
 
Wewe tena!
Wala hujakudelete mpenzi, tukudelete halafu outing tutatoka na nani?

bora mi sijawa registered, lakini huyu mlom-delete hamjamtendea haki kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom