Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Kwa mtu anayejua jinsi ya ku shape siasa za Marekani-Washington atamwambia nguvu ya Lobby Firms,hawa jamaa wana ushawishi mkubwa mnoo na ndiyo maana hata ukiangalia tokea jamaa anamwakilisha Lissu Marekani imekua inaongelea siasa za Tanzania kwa ukaribu sana,na jamaa keshasema anakusanya ushahid ili kuapply sanctions kwa viongozi wa serikali kupitia US & UK magnitsky Law-NEC siyo Wajinga wanaporekebisha baadhi ya mambo huyu jamaa anayoyakosowa-& infact Amsterdam keshasema tumesha qualify for sanctions and its a guarantee there will be sanctions.
Uzuri wa dunia ya leo Marekani akisusa CCM ya china haitatuacha
 
Ila kuliingiza jeshi kwenye siasa ni jambo baya sana iwapo limefanyika.

Ikitokea vita (hatuombei) unadhani tunaweza kuwa wamoja tena?Mwalimu alituongoza kushinda vita vya uganda,je kwa hivi leo hali ilivyo watu wanavyochukiana na tena jeshi nalo lijiingize,mbona ni hatari?

Hivi kweli hakuna watu wenye hekima nchi hii kila mtu anawaza tu tumbo lake?Hasha siamini.Najua mpo wenye hekima.Vaeni ujasiri,muondoe hali hii.Mungu atawabariki kwa ajili ya nchi yetu.
 
Madikteta wana roho ngumu sana, wapo tayari watu mamilioni kwa mamilioni wafe lakini wao waendelee kusalia madarakani tu. Omar Bashir wa Sudan alipigiwa kelele sana bila ya mafanikio, thanks God sasahivi anavuna alichokipanda. Mwisho wa Magufuli utakua mbaya sana..
 
Back
Top Bottom