ficha upumbavu wako
wewe unayeleta mizaha kwenye majonzi ndio unapaswa kujifunza.Mkuu jifunze kuwa Mstaarabu japo hatukulazimishi
Yaani kama utani vile DaahhSo sad Edo
Aisee rafiki, amesafirishwa kutoka Dar kwenda Tanga, kwa hy ni lazima ahifadhiwe kwenye jeneza kwa ajili ya kusafirishwa.Mimi nina wasiwasi kidogo na hii kwani Ibra si alikuwa Mwislamu na mtu aliyeweka picha ya Facebook anatuonyesha jeneza (???????????) all in all "Heri wafu wafao katika jina la Bwana wapate kupumzika baada ya taabu zao kwa kuwa matendo yao yafutana nao"
SAWAAisee rafiki, amesafirishwa kutoka Dar kwenda Tanga, kwa hy ni lazima ahifadhiwe kwenye jeneza kwa ajili ya kusafirishwa.
Shunie mama hebu nambie kua ni kweli Ibra amefariki?R.i.p ibra jamaan tutakukumbuka sana
Uchungu SanaNingeweza kuufuta uzi huu ningeshukuru maana kadri ninavyo uona machozi hayaishi, anyway kazi ya Mola haina Makosa! Ted, kwanini umemuua Veronika "nisauti ya Masimba aliye kuwa akiongea huku akiwa amemnyoshea bastola Ted ambaye alipatwa na mshtuko wa ghafla kiasi akashindwa kujuzia nakujikuta akianguka chini kama gunia la mchanga puuuuuuu!
Mara Mwanaharamu aliyekuwa ameteki kava kumlinda Masimba akajisogeza na Kumnung'oneza Masimba sikioni ... Itaendelea