
Ingia Facebook tafuta Ibrahim masimba nadhani utapata majibu vizuri....HAFU NYIE MASWALA YA KUZUSHIANA VIFO HII HAPANA
MBONA MOYO WANGU KAMA UNALIKATAA HILI SUALA??
EMBU MTOA MAADA UKUJE HAPA UNIELEZEE VIZURI![]()
![]()
![]()
![]()
Ukweli mi kichwa kinauma natamani nione jibu Lake hapaHata mm bado siamini aisee
View attachment 536111
Nimeikuta Fb mm hata siamini bado juzi tu IBRA alikuwa mzima hapana jamani
ibraYani nimeshukuru angalau nilitoa siku ya idi sijui ningeumiaje jamani!Na kuanzia leo nimekoma kabisa ubahili wa kuacha kuchangia waandishi,wakiondoka kama hivi nafsi inasuta sana.
Acha tu ndugu,inaumiza sana...majuto kweli mjukuu.Yani nimeshukuru angalau nilitoa siku ya idi sijui ningeumiaje jamani!