Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,936
- 3,195
Pole ndugu
Jamani semeni ukweli basi ahaa hapana aisee naomba isiwe kweli
Yesu wangu wangu jamaniMem nimeongea nae akiwa anatoka hospital na akaniakikishia yuko pouwa na amegundulika ana pumu nkakbaliana nikitoka job nitpta Kwak saa mbili napokea taarifa nampgia cm inpkelwa mdog wake wa kiume ananiambia mweny cm amfaliki. Nikatoka hadi kwa dada yake karibu na hospital ya kic1 ni kweli ibu amefariki na msiba upo kisiwani ila wanategemea kusafrisha kwnda tanga. Tutaendelea kufahamishana