
mkuu ni kweli hizi taarifa za msiba.. binafsi sijaamini ndio maana nachelea kutoa poleJamani ni kweli IBRAHIM MASIMBA amefariki!! Jamani huyu jamaa si mwaka huu alifiwa na mchumba wake pia...oohh Mungu wangu kwa nn haya tena kwa Ibra!! R.I.P IBRA
Kisiwani ya mwananyamala?!Mem nimeongea nae akiwa anatoka hospital na akaniakikishia yuko pouwa na amegundulika ana pumu nkakbaliana nikitoka job nitpta Kwak saa mbili napokea taarifa nampgia cm inpkelwa mdog wake wa kiume ananiambia mweny cm amfaliki. Nikatoka hadi kwa dada yake karibu na hospital ya kic1 ni kweli ibu amefariki na msiba upo kisiwani ila wanategemea kusafrisha kwnda tanga. Tutaendelea kufahamishana
Hata mm bado siamini aiseeMi bado sijapata ukweli halisi najua ibra87 anaumwa ila hilo lingine linagoma kuingia akilini