Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Yaan sumbai wewe bada ya kuongea ukweli ndio unajichulia kabisa hahahhaSwahiba wangu ibra ananiombea heri, sijui naweza okota dodo chini ya mwarobaini
Yaan sumbai wewe bada ya kuongea ukweli ndio unajichulia kabisa hahahhaSwahiba wangu ibra ananiombea heri, sijui naweza okota dodo chini ya mwarobaini
Hapana lazima ajue ukweli kila siku ananiita shemeji namwambia sio shemeji yako mimi hakubali tuMwache swahiba bwana, tumetoka nae mbali saana
Hii kesi me ckusaidiiYaan sumbai wewe bada ya kuongea ukweli ndio unajichulia kabisa hahahha
Hapana mke mwee nisaidie jamaan si unakumbuka ibra alivyokua anaongeaHii kesi me ckusaidii
Yaan sumbai wewe bada ya kuongea ukweli ndio unajichulia kabisa hahahha
Mwache swahiba bwana.....Hapana lazima ajue ukweli kila siku ananiita shemeji namwambia sio shemeji yako mimi hakubali tu
Sumbai hayo maono yenu hayana nafasi me ni mke wa mtu aje hapa aone nitaachika jamaanMwache swahiba bwana.....
Ana maono mazuri swahiba
Huyo mwachee kabisaaaa....Hii kesi me ckusaidii
Pole naona Sumbai anapigilia msumari badala ya kukunasua bahati yko shemela hapitagi mitaa hiiHapana mke mwee nisaidie jamaan si unakumbuka ibra alivyokua anaongea
Sumbai hayo maono yenu hayana nafasi me ni mke wa mtu aje hapa aone nitaachika jamaan
kweli umejtetea hapa akuhurumie tu akuacheMke wa mtu huyo ujueHuyo mwachee kabisaaaa....
Amwache naniiiHuyo mwachee kabisaaaa....

Hawajui ujue matatizo wanayonitafutia mke mweePole naona Sumbai anapigilia msumari badala ya kukunasua bahati yko shemela hapitagi mitaa hii
me sitaki jamaan![]()
![]()
kweli umejtetea hapa akuhurumie tu akuache
Teh... Kumbe Shemela yupo? Kumbe ndio maana fujo zimepungua siku hiziHawajui ujue matatizo wanayonitafutia mke mwee
Riwaya awape na bado awaalike tena??!Shukrani Ibra,tunategemea kualialikwa na ww



Yupo sumbai nipo nae kapuku hahah eti fujo zimepungua si unajua tena ukiwa chini ya mtu mwanzo nilikuwa shunie kama shunie sasa hivi namilikiwaTeh... Kumbe Shemela yupo? Kumbe ndio maana fujo zimepungua siku hizi
Rafiki na we mbona haujatualikaRiwaya awape na bado awaalike tena??!![]()
![]()
![]()
mke mwee itakuwa kanichanganya na cute b wa sumbai
Mamy relux,Ngoja nimtafute sumbai nimlete akwambie ukweli sumbai wa cute b
Aisee yaan napata shida mamy bora umekuja kila siku naitwa shemeji mie mpaka nimekutana na sumbai nikamwambia aje
Pole mamy.Aisee yaan napata shida mamy bora umekuja kila siku naitwa shemeji mie mpaka nimekutana na sumbai nikamwambia aje