Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,869
Asante dearPole mamy.
Asante dearPole mamy.
Hawaijui Akili Ninayoitumia kwenye kuandika. Mimi Huwa Si Copy wala Ku paste. Comment za kipuuzi huwa zinanitoa kwenye njia.Jamani Mnamshughulisha Sana Ibra
Mgeacha hayo mazozo yenu tusofaidika nayo
Ili Ibra atushushie vitu badala ya kukaa anazozana nanyi
Aaarrrghhhhhhhhb
Mnaboa
Sidhani kama ilikua sahihi sana kulisemea hapa,ingependeza ukaenda pm ukamwambia angeelewa zaidi,huenda kwasababu yako watu wakalala na arosto ya hadithi hii
Arosto mbayaKitu nakiandaa na soon nitakitupia hapa.. Kwa hilo ondoa Shaka
Naona umefarijika sasa eeeeee
Haina noma hiyo mkubwa, ubarikiwe kwa hii burudani kubwa.Samahani Leo Nimeifanya fupi kutokana na Muda kunibana
Sawa mzee shukranSamahani Leo Nimeifanya fupi kutokana na Muda kunibana
Kabisa mkuuNaona umefarijika sasa eeeeee
Shukrani mkuu barikiwa sanaSamahani Leo Nimeifanya fupi kutokana na Muda kunibana