Anatunyanyasa sanaNgoja nichukue link ya uzi huu nimpe Hussein Tuwa aone unavyoituma kazi yake hii
Nani anawanyanyasa?!Anatunyanyasa sana
Hiyo riwaya ina kibali cha kuiuza na kuisambaza, ukiileta huku uwe na kibali la si hivyo ukishtakiwa na ukatiwa ndani itakutoka si chini ya milioni tano.Anatunyanyasa sana
Mimi ni mwanachama wa UWARIDI pia ni mwandishi wa ndani ya UWARIDI. Ninaongea ninachokijua, usitetee uozo wa huyo jamaa kwa usichokijua. Hiyo screenshot ni Hussein Tuwa mwenyewe wakati namwambia kuhusu uzi huu, nadhani umeona alichokiandika hapo.Riwaya hii ipo mtandaoni kuanzia sehemu ya kwanza hadi 49!! Hivyo basi ni kosa la jinai kupost bila ruhusa ya mwandishi kuanzia sehemu hiyo ya 49!
Nimekujibu ili uone ya kuwa kusitishwa kupostiwa hapa ni sababu maalumu lakini pia nikukumbushe kitu kimoja usipende kuwajaji watu bila kuwauliza ama kuona wametoka nje ya mipaka ya umiliki wa kazi za wengine...
Nina access ya Uwaridi na ni mwanachama wa Uwaridi pia nina hard-copy ya kitabu hiki lakini pia kuwa na nidhamu ya maneno usipende kujionesha kama mkerereketwa wa umiliki wa kazi ikiwa hata leo hii ukienda Kona ya Riwaya kuna post hadi hapa ilipofikia na ndipo iliishia....
Hizi nguvu ungewekeza kumshitaki yule jamaa wa blog ya riwaya mwenye kujaza riwaya za watu bila taarifa ningekuona wa maana sana.
Jiheshimu nawe utaheshimiwa na nimeamua kukujibu kwa sababu mtu wa kwanza kuanza kuipost hapa IAmShedeOne hayupo karibu na ni member hai wa UWARIDI na ndie hupost humu riwaya zote za UWARIDI na hazimalizagi kwa sababu ya haki miliki na kuvuta watu zaidi waipakue App ya Uwaridi.
Nimekujibu kwa sababu nimegundua hujui unachokifanya yani ungelijitambua basi ungeliwambia watu kama kina kulubule waende kule UWARIDI APP wakidhi kiu zao kwa bei ya Tsh 6000/=
jaribu kuwa muungwana hakuna asie jua ugumu wa kazi za kalamu
Siku nyingine acha kubwabwaja kitu Usichokijua, eti mwanachama wa Uwaridi katiba umeisoma hadi uje kubwabwaja hayo?Tangu jana ulipoweka post hii sikutaka kukujibu nikasubir labda IAmShedeOne atajitokeza ila naona kimya basi nakupa mfano wa hii screensho kutoka pm kwangu
Heshima ungeichunga kwa kukaa kimya na kuacha usichokijua na si kuja kuongea mambo ambayo huna ujuzi nayo humu.Kaka naona unanivunjia heshima sasa kuwa muungwana kidogo kuwa ndani ya group la Uwaridi sio kujulisha basi walionje si member lakini kikubwa kuwa Uwaridi sio sifa basi ukionekana huko utakuwa milionea
Sina sababu ya kukuwekea vithibitisho eti kisa tu tunabishana
Lakini kubwa naona hauna staha hivyo naomba tuishie hapa as nimekukwaza nisamehe
Chief