Kinondoni?Vinapatikana kwenye duka LA Kona ya riwaya pale moroko
Kinondoni?Vinapatikana kwenye duka LA Kona ya riwaya pale moroko
Nilisahau finyango nisamehe jamaanShunie mbona hukunishtua bhanaa?
Nimekusamehe buree kabisaaNilisahau finyango nisamehe jamaan
Ndio ni ile mtaa nyuma ya maunt ukomboziKinondoni?
Nawe pia,maana Hanna namnaUsiku mwema Wapendwa
Huwa wanawatumia mikoaniADK Kwa Kilimanjaro / Himo tunavipataje..
Basi na mi siendelei nisijiletee matatizo bora mtafute kitabu wapendwa..maana sukujua kama ni maalum nilijua ni burudani...Naona ni mgongano wa kazi yamkini eddy aliamua kumuachia kibajaji maana aliingilia uzi wake!

Kweli mkuu?? Manake ni jana tu nikipita Samora nikakuta Kikomo na Njama tu. Nikaambiwa kikosi cha kisasi mpaka wiki 2 zijazo. Daaah kama kweli sijui niende Kariakoo saa hiziii au??Tusiteseke sana Ndugu zangu, hii riwaya imetoka Leo ktk hardcopy( kitabu) sh 10,000. Kipo kariakoo kwa wauza magazeti
Tatizo sisi wa mkoani ndio shida. ..Tusiteseke sana Ndugu zangu, hii riwaya imetoka Leo ktk hardcopy( kitabu) sh 10,000. Kipo kariakoo kwa wauza magazeti
Basi na mi siendelei nisijiletee matatizo bora mtafute kitabu wapendwa..maana sukujua kama ni maalum nilijua ni burudani...![]()
Kweli kaka kitabu kipoKweli mkuu?? Manake ni jana tu nikipita Samora nikakuta Kikomo na Njama tu. Nikaambiwa kikosi cha kisasi mpaka wiki 2 zijazo. Daaah kama kweli sijui niende Kariakoo saa hiziii au??
Kama utakuwa radhi utumiweTatizo sisi wa mkoani ndio shida. ..