Riwaya: Kikomo

Riwaya: Kikomo

Zodiac mkuu inamaana weekend inapita hivi hivi?tuone huruma bhana!
 
bb5ae0379408653dea45128283c1d470.jpg
6b5aaaa60276ab70a7d9cb17e98f2b6b.jpg
534ac6412e0002d2855d9e0013a3abed.jpg
e1b3906728f67635ce09266275691a5c.jpg
e9e55baffaa03898227d7ad8bf37c237.jpg
09ff6dfe1e14ec914a27aa92c62da1b3.jpg
751b7895c9b63a0c9c2499b3cdf3a4da.jpg
f129b57dfd82b508498a36bdbe0a0ca7.jpg
8a9f3dc27d7c5ef3401e9df20952e62c.jpg
8d301f624073efe2b0377da416ea6c57.jpg
 
Wanan,finyango,johape,shubalozimchovunie,kibuyu180,tumosa ,shamac matukutuku, bess,ngoma ya ukae,malafyale , guasa, amboni, nemesis swahiba 92 ,mtoro8, cmases, shunie,lazarod298,bujibuji,dahafrazeril,abbya,
Lutayega, I keep ma promise, evarist massawe, tonier
 
Si kazi yangu kujishughulisha na makosa ya jinai. nilishangaa kidogo chifu aliponiamuru nifuatie tatizo la upungufu wa almasi.
Isingekuwa kwa sura aliyoonesha nilitaka kumwambia apeleke malalamiko yake kwa kamishna wa polisi au anipr uhamisho wa kwenda huko kama alikuwa hanihitaji katika idara yake.
Siku hiyo alivaa sura ya kutisha na sikuwa na la kufanya ila kukubali. Kulikuwa na ushahidi kwamba almasi zilizouzwa katika masoko nje ya nchi zilikuwa chache sana kulinganisha na kiasi kilichokuwa kinachimbwa kwa nini?
Idara ya upelelezi ya makosa ya jinai imejitahidi bila mafanikio. Askari polisi joel amegusa chanzo cha uhalifu akafa kayika ajali ya ndege siku chache kabla ya kufunga ndoa na mchumba wake amanda na uhalifu ukaendelea
Chifu alimtuma jack mbwile mpelelezi wa kawaida lakini maiti yake iliokotwa ikielea ziwa victoria na uzito wa jambo zima ukawa umetambuliwa. Ndipo nikatumwa mimi willy gamba

ITAENDELEA
nijumuishe kwenye taglist mkuu....
 
Yani kila baada nusu saa najipitisha hapa nione kama kuna mzigo umeshushwa!!
 
Asante King, Leo ni Jumapili natumaini utashusha nyingine maana wengine huu ndiyo ulevi wetu, hatuna ulevi mwingine.
 
Back
Top Bottom