Evarist Massawe
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 853
respect mkuu
Sent from my TECNO S5 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO S5 using JamiiForums mobile app
Ubarikiwe sana mkuu king.
Mambo vip king hushushi mzigo leo???
Ingia kwnye hiyo link!Mambo vip king hushushi mzigo leo???
Njama mkuu IPO sehemu chache sana yaani vipande kadhaa labda uniambie inapatikana wapi hiyoMzigo wa hofu na njama nahic Humu jamii forum IPO
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Safi sanaSi kazi yangu kujishughulisha na makosa ya jinai. nilishangaa kidogo chifu aliponiamuru nifuatie tatizo la upungufu wa almasi.
Isingekuwa kwa sura aliyoonesha nilitaka kumwambia apeleke malalamiko yake kwa kamishna wa polisi au anipr uhamisho wa kwenda huko kama alikuwa hanihitaji katika idara yake.
Siku hiyo alivaa sura ya kutisha na sikuwa na la kufanya ila kukubali. Kulikuwa na ushahidi kwamba almasi zilizouzwa katika masoko nje ya nchi zilikuwa chache sana kulinganisha na kiasi kilichokuwa kinachimbwa kwa nini?
Idara ya upelelezi ya makosa ya jinai imejitahidi bila mafanikio. Askari polisi joel amegusa chanzo cha uhalifu akafa kayika ajali ya ndege siku chache kabla ya kufunga ndoa na mchumba wake amanda na uhalifu ukaendelea
Chifu alimtuma jack mbwile mpelelezi wa kawaida lakini maiti yake iliokotwa ikielea ziwa victoria na uzito wa jambo zima ukawa umetambuliwa. Ndipo nikatumwa mimi willy gamba
ITAENDELEA