Riwaya: Kiguu na njia

KWA ANAYEKIHITAJI KITABU HIKI CHA KIGUU NA NJIA NA VINGINE VYA BEN MTOBWA KAMA DAR ES SALAAM USIKU, SALAMU TOKA KUZIMU, TUTARUDI NA ROHO ZETU NA VINGINE VINGI, NITAFUTE KWA KUPITIA 0712504985 AU 0763044459. KARIBUNI.

“Simba!” babu alisema kwa nguvu. Mara moja mkono wake ukaelekea kiunoni mwake. Palipokuwa na kisu chake.

!”
 
KWA ANAYEKIHITAJI KITABU HIKI CHA KIGUU NA NJIA NA VINGINE VYA BEN MTOBWA KAMA DAR ES SALAAM USIKU, SALAMU TOKA KUZIMU, TUTARUDI NA ROHO ZETU NA VINGINE VINGI, NITAFUTE KWA KUPITIA 0712504985 AU 0763044459. KARIBUNI.

Kuna wakati babu alinishtua ghafla, “Angalia! Usikanyage jani hilo. Ukilikanyaga kama uko porini peke yako, utapotea siku nzima bila kuona njia ya kurudi nyumbani! Litazame vizuri jani hilo na ulikariri!”

aribu wa ‘Mtume wa Karagwe’ mwalimu Ibrahimu Kazigu.
 
KWA ANAYEKIHITAJI KITABU HIKI CHA KIGUU NA NJIA NA VINGINE VYA BEN MTOBWA KAMA DAR ES SALAAM USIKU, SALAMU TOKA KUZIMU, TUTARUDI NA ROHO ZETU NA VINGINE VINGI, NITAFUTE KWA KUPITIA 0712504985 AU 0763044459. KARIBUNI.​
Nilimwona babu akiwa kando ya ziwa, akizungumza na mmoja wa wenyeji wetu, mzee mpole, ambaye baadaye niliambiwa kuwa anaitwa Buberwa, rafiki wa karibu wa ‘Mtume wa Karagwe’ mwalimu Ibrahimu Kazigu.


Endeleaaaaaaa.....


* * *​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom