Riwaya: 'hofu'

Riwaya: 'hofu'

Naaaaaaaam!! kama zamani ....nimechelewa kulala sababu ya Willy Gamba! Mtunzi alikuwa makini mnooo!!
 
Alimgonga FK kwa benzi lake mwenyewe.sema hasa kazi yake bado kummaliza aliyeua familia yake

Mi najiuliza yule Mwana wa Dar na huyu Nyaso haelekei kumuachia huyu itakuwaje hem bashiri bazazi mzoefu
 
Mi najiuliza yule Mwana wa Dar na huyu Nyaso haelekei kumuachia huyu itakuwaje hem bashiri bazazi mzoefu

Anamalizana na Nyaso kiroho safi kisha anarudii dar kisha anarudi arusha kumsaidia mpango wake...lol

Ngoja DEMBA aje akueleze uzoefu wangu wa ubazazi
 
Last edited by a moderator:
Anamalizana na Nyaso kiroho safi kisha anarudii dar kisha anarudi arusha kumsaidia mpango wake...lol

Ngoja DEMBA aje akueleze uzoefu wangu wa ubazazi

Hahahaa unadhani Nyaso atakubali kubaki Arusha....
 
Last edited by a moderator:
wakuu kwa kuwa imebakia sehemu moja riwaya hii ifike tamati na kwa kazi kubwa aliyoifanya Willy Gamba 1 kuileta hii kitu hapa mnaonaje nikimpa heshima yake ya kuja mwenyewe kutamatisha?

We malizia tu mkuu,afu kwa niaba ya wana jukwaa wote na wapenzi wa riwaya za kijasusi tunakuomba sana utuletee either "kikomo" ya willy Gamba au "mkimbizi" ya Tiga
 
Back
Top Bottom