Aisee, hadithi imetulia hii, huyo Eshe Muhidini ndie ninaemfahamu au mwingine?
Sasa upelelezi umenoga look dk zahala nae namuhofia kutoa siri
Owk, balozi nimekuona sehemu bana unapigiwa kura....
teh teh! huyo Eshe unaemjua mume wake aliangukiwa na jumba bovu?? Inawezakuwa hii ni true story (joke)
haiwezi kuwa ile ile wakati kuna nyama ya ulimi, nyama ya mkia, nyama ya kwapa na zingine kadhalika