Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,099
- 165,283
Atabadili NYAMA tu, bucha ni lile lile!
haiwezi kuwa ile ile wakati kuna nyama ya ulimi, nyama ya mkia, nyama ya kwapa na zingine kadhalika
Atabadili NYAMA tu, bucha ni lile lile!
haiwezi kuwa ile ile wakati kuna nyama ya ulimi, nyama ya mkia, nyama ya kwapa na zingine kadhalika
Yaani kupenda mtu ambaye hakupendi kivile au kiasi hicho hicho inauma sana, maana uwepo wako au kutokuwepo kwako vyote kwake vitakuwa sawa tu, saa nyingine utaonekana kero tu bila sababu.
Fikiria una mtu wako mko mbalimbali, umepata nafasi ya kwenda kumuona, unamuambia anasema sina hela ya nauli, unamwambia basi nitakopa nauli tu nije huko ni muda sijakuona nimekumisi, bado anasema usije, nitakuja mimi baada ya zaidi ya mwezi.
Hivi jamani ni nini hiki?
Going through the same issue ila mie mwenzio tayari nshajiongeza. Matendo huzungumza kuliko maneno. Waswahili wanasema likuepukalo lina heri nawe. Tulizana utayasahau na maisha yataendelea.Yaani kupenda mtu ambaye hakupendi kivile au kiasi hicho hicho inauma sana, maana uwepo wako au kutokuwepo kwako vyote kwake vitakuwa sawa tu, saa nyingine utaonekana kero tu bila sababu.
Fikiria una mtu wako mko mbalimbali, umepata nafasi ya kwenda kumuona, unamuambia anasema sina hela ya nauli, unamwambia basi nitakopa nauli tu nije huko ni muda sijakuona nimekumisi, bado anasema usije, nitakuja mimi baada ya zaidi ya mwezi.
Hivi jamani ni nini hiki?
haiwezi kuwa ile ile wakati kuna nyama ya ulimi, nyama ya mkia, nyama ya kwapa na zingine kadhalika
Atabadili NYAMA tu, bucha ni lile lile!
Tafuta mwingine.........wanaume mbona wengi sana..........
tupo wachache kama kura za sisiem
Preta ni kweli wanaume wa viwango vyetu tupo wachache au huko yaeda chini hujaliona hilo?Aaah wapi.......hajataka tu labda.......
Ukielewa kuwa katika mapenzi ni 60/40 ama 90/10 wala hutopata taabu, there is never 50/50 katika mapenzi. Its either you give much or less and vice versa. Kwa mpenzi wangu najua mm natoa much but sipati shida maana naamini baada ya muda nitapata enough amount of love in return, give it time and keep trying if its worth it.😕