Riwaya: Barua Kutoka Jela

Riwaya: Barua Kutoka Jela

Nimeipenda hii stor sana niko kgm jaman naipataje naitaka sana
 
Sijasoma toka mwanzo lakini sehemu hii ya 25 ina mapungufu. Majambazi wote huzitupa simu zao punde mara baada ya mawasiliano. Rejea tamthilia ya prison break season 2, michael scofield alikuwa na lundo la simu ambapo kila akiwasiliana na watu huitupa simu husika. Inaonekana mwandishi bado yupo mwaka 47.
ndio maana JM alimuua yule mwenzie kwani alijua kuwa kuwepo na zile simu ni hatari kwa kazi yao,mtunzi hajakosea hata kidogo
 
Watu wote duniani hatuwezi kufanya kazi moja lakini kila mmoja anatakiwa kufanya kazi yake kwa weledi na kiubunifu zaidi. Kazi iliyofanywa kiuweledi huwezi kuikosoa kwa haraka na hovyohovyo hasa ktk 'technical issues'. Wahasibu, wanasheria, wanahabari n.k. kila mmoja awe makini ktk kazi zake.
Pamoja na yote, kazi yako ikikosolewa ni wazi kuwa watu wameikubali na wanataka uiboreshe zaidi.
Shida yetu waafrika, kuanzia ngazi ya mtu mmojammoja, familia, ukoo, mpaka serikalini, hatutaki kukosolewa. Mtu adui ni yule anaekosoa hata kama ni kwa technical issues.

Katika comment yako ya awali
The way ulivyopost Ni kama hukuona lolote njema kwenye stori ukakimbilia tu ku diss
Kwa mwamvuli wa kukosoa

Utamlinganishaje story yake na prison break?!! Nani kakwambia mawazo ya prison break lazima yawe applied kwenye hi story pia?!

Let prison break be prison break and barua kutoka jela be it....
 
nimeimaliza story, hakika Jamila inspector ameiva na JM naye hajambo.

lkn ushauri kwa watunzi wa riwaya, ni vema kabla hujairuhusu riwaya yako basi kuwatafta watalaam wa idara husika ili waifanyie editing. nasema hivi kwa kuwa kuna makosa ambayo kama ingehaririwa na wahusika yasingetokea.

mfano japo sio askari, lkn matumizi ya neno AFANDE hayako sawa. sio kila askar ni afande. mwenye cheo ndiye anaitwa afande.

kwenye riwaya kuna kipindi IJP smemuita insp Jamila afande au IGP anamuita rpc afande. au kabuta ambaye ni sgt anaitwa afande na insp jamila. hi si sawa
 
Back
Top Bottom