Riwaya - Balaa

Riwaya - Balaa

Mapengo Junior wengine ni waungwana humu we malizia kiroho safi sehemu zilizobaki Mkuu.

Analeta pozi za ajabu asiambiwe?, na nilichosema ni cha kawaida2 akajikuta ana hasira za kike za kususa susa
 
Analeta pozi za ajabu asiambiwe?, na nilichosema ni cha kawaida2 akajikuta ana hasira za kike za kususa susa

Huu ni upuuzi ila kwa kuwa nimeshaishi na wapuuzi kama wewe chiko18 hivyo unipi shida...ntaendelea weka kadri mungu akipenda itaekwa mpk mwisho
 
Ila mapengo usituchomeshe mahindi sana basi mdogomdogo mpk mwisho wa safari
 
Unajua huo usemi wako wa kuongeza viambishi huwa unatumika sana kanda ya ziwa. Ndo maana nikahisi vile. Mf; nipeko, wekamo, ilikujaga, tupiamo etc.

asante kwa kunijuza ila mie si wa kanda ya ziwa ndugu yangu
 
Back
Top Bottom