wewe una jinsia gani?? kama ni mwanaume acha kumsifia mwanaume mwenzio hivyo.sisi mila na desturi si busara kumsifia mtu bila sababu za msingi.
nisingependa kuponda huu uteuzi kwa sababu huyu mtu hafahamiki kwa wengi na tatujui utenda ji wake ila kuna machache naomba tuwekane sawa
kwanza si kweli kwamba kila mtu aliyesoma ILBORU -UDSM au kupata point VII au point III-alafu firstclass degree ni kipanga au (genius) siyo siyo... kwa wale tuliofika Chuo Kikuu miaka ya nyuma kidogo mtanielewa namaanisha nini
mtu aliyepata firestclass katika fani za masomo ya biashara ni wa kawaida sana. kuna first class za fani nyingine ni balaa zaidi ya hiyo..... kama aliipata kwa miaka mitatu kwa wengine miezi sita wanaweza kuipata
tumjadili mteuliwa kwa mafankio yake siyo bla-blah ...ohh mara baclays.... ohoo BOT mara heee... motgage finance....kuzunguka zunguka katika maofisi hakuwezi kutushawishi watu makini
sasa je?? taaluma yake ya banking na CV iliyorembwa italeta ufanisi TRA ??? katika changamoto tulizo nazo kama nchi??.
watu wengi waliosoma finance/banking wana tatizo la uoga katika maamuzi wana tabia ya kukariri, na wengi si watu wa mikakati, ni watu wa routine jobs, TRA inahitaji mtu wa mikakati strstegist, nafikiri Economist au hata mtu wa engineering mwenye weledi katika fani ya Taxation anafaa zaidi
mimi binafsi sioni kitu hapa mpaka tuone utendaji wake
Mimi sihitaji kujua jinsi yake kwa kuwa jinsi yoyote aliyonayo ANALIWA