wyatt family
Member
- Nov 13, 2015
- 25
- 5
Duuh..Huu ndo muda wa kukaa chini na mzazi wako na kumuuliza kama yupo clean au vipi..Hii kasi ya magufuli inaambatana na vilio
Majipu yanatumbuliwa sasa lazima ulie tu.
Duuh..Huu ndo muda wa kukaa chini na mzazi wako na kumuuliza kama yupo clean au vipi..Hii kasi ya magufuli inaambatana na vilio
ulipoandika hii comment hukujua ambacho kingejir 2015 kwel tujue kuweka akiba ya maneno
Mkuu usi shangae sna, Bade alikuwa mtumikaji tu katika mtandao flani hivi.ulipoandika hii comment hukujua ambacho kingejir 2015 kwel tujue kuweka akiba ya maneno
I stand to be corrected!!!!Rished akisaidiana na Waziri na mkenya mmoja akiitwa Tirus Mwithiga walikwapua vibaya sana kwenye mradi waexpansion ya barclays mpaka wakaondolewa. Rished akapelekwa Kenya na kuundiwa nafasi ambayo kimsingi hakukuwa na mtu hata mmoja chini yake. So akarudi nchini ndio wakawa wanamtafutia kazi.Mwanzo alikuwa apewe CEO wa PSPF, lakini baada ya kuona Muislam anaekaimu ametosha ndio wakaamua wamuweke hapo.
Katika expansion yao waliajili wadada vimeo wasio na vyeti kwa kiwango cha ajabu na ndio ukawa mwanzo wa kuanguka kwa barclays....mfano wa mtu alieajiriwa ni enzi hizo ni mbunge wa viti maalumu wa Arusha anaeitwa Catyherine Magige ambaye hata jina analotumia sio lake baada ya kufeli form four.
Huyu ni kiongozi dhaifu na hasiefaa....just wait time will tell.
Naijua sana hii familia na namjua sana huyu kijana.
Ni mdogo wake Iliasa na mdogo wake Gale. dada yao alisoma na mke wangu. Ni watoto wa kinondoni hawa.
Kijana ni mzuri sana na alisomea Forodhani sec alipata Point 7.
Wakti naondoka Tz alikuwa BOT.
Hichi ni kichwa sana na pasi na shaka yoyote atawasaidia sana kukuza uchumi wenu uliodorola.
Watu hawa ni hazina kwa aifa la wenye mapenzi na nchi yao
Hongera sana Rished Mohamed Bade.
naona kapigwa "gavana"