Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Samahani sana Proved, sipo tena katika haya mambo ya kulinganisha uwezo wa majeshi mbali mbali duniani. Hilo nawaachia akina MALCOM LUMUMBA waendelee kuota ndoto zao za mchana🤡!Dah!...uzi mzuri Sana wa mwaka huo....nadhani uvamizi wa Urusi huko Ukraine umezipa muda China, Taiwan na US kujitathmini kipi kitatokea iwapo mgogoro utazuka kati yao.
T14 Armata Mag3 dudus Yoda
Kwa sasa matatizo ya maji, umeme na gharama kubwa katika matumizi ya mitandao yamenifanya kukosa kabisa usingizi iwe mchana au usiku, sasa hizo ndoto nitazitoa wapi?