Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,175
- 10,899
Maafisa katika serikali ya raisi Biden wameendelea kukwaruzana kuhusu mashambulizi yanayoongezeka ya Houth na kuleta madhara japo jeshi la Marekani limeshatumia nguvu kubwa kuwapiga.
Naibu katibu muhtasi wa Pentagon,bi Sabrina Singh amesema Houth wanaonekana kuwa na hazina kubwa ya silaha kuliko ilivyodhaniwa mwanzo.
Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa jeshi la Marekani naye amesema Houth wameendelea kutushangaza sana.
Naibu katibu muhtasi wa Pentagon,bi Sabrina Singh amesema Houth wanaonekana kuwa na hazina kubwa ya silaha kuliko ilivyodhaniwa mwanzo.
Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa jeshi la Marekani naye amesema Houth wameendelea kutushangaza sana.