Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 16,301
- 33,751
FJM, yapo mengi sana yanyotia uchungu kama kifo cha Mwangosi aliyekuwa anatafuta mkate wa familia.
Yapo yanayoudhi sana na kutia hasira:
1. Kutumia kifo cha Mwangosi kuficha 'wahalifu' wakubwa akina Chagonja, Kamuhanda n.k.
2. Kutumia kifo cha Mwangosi kuficha wahuni wa siasa kama akina Nchimbi
3. Kutumia kifo cha Mwangosi kuudanganya umma
4. Kutumia kifo cha mwangosi kukaa mahali na kutunga uongo
Kinachosikitisha sana ni kuelewa kuwa wapo watu wengi waliohukumiwa na Jaji Ihema. Watu hawa wahawakutendewa haki kwasababu Jaji Ihema ameonyesha uelewa kidogo (in fact kutoelewa) anachokifanya.
Ameandika ripoti ambayo mtoto wa kidato cha sita angeweza kuiandika vizuri zaidi kama insha.
Kinachotia kichefu chefu ni Theophili Makunga, mtu anayedhaniwa kuwa mwandishi na mwenye weledi kukaa pamoja na Jaji Ihema na kutunga upuuzi usiolingana na taaluma yoyote isipokuwa kama ipo ya wapuuzi.
Tunaichambua habari hiyo na tutarejea na kipengele kimoja baada ya kingine ili kuonyesha kuwa hatumtukani wala kumdhalilisha Ihema na Makunga, bali wamejidhalilisha wenye.
Yapo yanayoudhi sana na kutia hasira:
1. Kutumia kifo cha Mwangosi kuficha 'wahalifu' wakubwa akina Chagonja, Kamuhanda n.k.
2. Kutumia kifo cha Mwangosi kuficha wahuni wa siasa kama akina Nchimbi
3. Kutumia kifo cha Mwangosi kuudanganya umma
4. Kutumia kifo cha mwangosi kukaa mahali na kutunga uongo
Kinachosikitisha sana ni kuelewa kuwa wapo watu wengi waliohukumiwa na Jaji Ihema. Watu hawa wahawakutendewa haki kwasababu Jaji Ihema ameonyesha uelewa kidogo (in fact kutoelewa) anachokifanya.
Ameandika ripoti ambayo mtoto wa kidato cha sita angeweza kuiandika vizuri zaidi kama insha.
Kinachotia kichefu chefu ni Theophili Makunga, mtu anayedhaniwa kuwa mwandishi na mwenye weledi kukaa pamoja na Jaji Ihema na kutunga upuuzi usiolingana na taaluma yoyote isipokuwa kama ipo ya wapuuzi.
Tunaichambua habari hiyo na tutarejea na kipengele kimoja baada ya kingine ili kuonyesha kuwa hatumtukani wala kumdhalilisha Ihema na Makunga, bali wamejidhalilisha wenye.