Ripoti: Uchumi unakua, umasikini unaongezeka

Viongozi kuangalia maslahi binafsi ni by-product ya umaskini. Wadhani tungekuwa matajiri tungepata viongozi hawa?
Nadhani elimu ndiyo ufunguo wa kila kitu....elimu si kwa maana ya mradi kwenda shule...otherwise, viongozi wetu woooooooooooooote wamesoma nje, na wengine Ulaya, ukimtoa ******. Labda kwa sababu hiyo ndiyo maana anaharibu zaidi kuliko wengine!
Yote hayo msingi wake ni kutofuata sheria na taratibu tulizojiwekea.............
 
Nakubaliana nawe, Watz tumezoea kutofuata sheria zilizopo; mfano hai viongozi wa CDM kwa sababu wanazozijua wao kwa makusudi wamekwepa kulipa kodi katika mamlaka za kiserikali. Kutolipa kodi ni kudhoofisha jitihada za serikali iliyopo madarakani kuwatumia raia wake.
MAGAMBA YANAENDELEA mkuu unamaanisha umasikini wa Tanzania umeletwa na CDM???
 
Naomba kutofautiana na wewe moja kwa moja

Si kweli sababu ya umaskini wetu ni kutofuata sheria
Sheria zipi unazungumzia ambazo hazifuatutwi na watu wetu
Kwani Mkulima wa kule shinyanga au mchimba madini wa kule mtwara ni sheria ipi ameivunja wakati anapofanya kazi yake ya kujitafutia riziki
Na je hiyo sheria aliyoivunja ndio imemletea umaskini wake
naamini sababu moja tuu ni kwa nini sisi ni maskini ni ukosefu wa "VISION" kwa kviongozi wetu na hatuna hata kipaumbele cha nini kifanyike na rasilimali tulizo nazo zitumikeje na zimfaidisheje mwananchi wa kawaida
kusema kuwa wananchi hawafuati sheria na ndio maana ni maskini kwa kweli hilo sikubaliani nalo

Kuna Mmoja kaniuliza kwamba "Kwa nini jamii haifuati sheria zilizopo?"
Swali hilo linakaribiana na hoja zako zoote kwa ujumla wake ambazo zinajibiwa hivi
Watu hawafuati sheria kwa sababu hazitokani na wao [hawakushiriki kuzitunga]
Matokeo yake sheria hizo zinakuwa hazikidhi matatizo/matakwa yao. kwa lugha nyepesi zinakuwa weak ndiyo maana wanakuwa hawazifuati.
Katika mfano wako wa mkulima:-
1. vyama vya ushirika vimekufa kwa sababu sheria ya vyama vya ushirika haikuwahusisha wakulima kuiunda.
vyama vya ushirika baada ya kuundwa wale wajumbe na viongozi waligeuka kuwa mabeberu wa kunyonya wakulima mwisho wa siku migogoro kati ya wakulima na wanunuzi[vyama vya ushirika] haiishi. hali iliyopelekea ushirika kufa.
Kuna mifano mingi mno ya mahusiano ya sheria na mtunzi wake.

Labda mfano wa mwisho:-
Kama wewe ni mfanyakazi hebu jiulize lifuatalo:-
Wakati wa kuajiliwa mtakapokaa na mwajiri wako kabla ya kusaini mkataba, mkajadili kipengele kwa kipengele na kukubaliana, unafikiri kuna sehemu utaona umeonewa?
HOJA YA VISION NILISHAIJIBU HUKO NYUMA. TAFADHALI ANGALIA KISHA NIKOSOE UNAPOONA SIPO SAHIHI!!
 
Rules that guide a country's vision are made by leaders who have a vision of how they want their country to develop; [ road map]; it is also the same type of leaders who allow/guide free debate of development initiatives in their societies.

Your opinion almost caught me in a question that says
"Between Egg and Chicken, which came first"
A leader with vision is created from strong Laws. Strong laws must originate from people/jamii. A Leader cames after the Law not the opposite. unfortunately for us the Law comes after the leader!.
 
Inasikitisha sana maana hawana hata maisha ....................... Bora hata wakoloni ufisadi mtupu wa nguoni!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hii inasikitisha jamani

utajiri wote tulionao wa mali asili lakini hebu angalia haya mapozi ya hawa vijana wa kilindi kwa mbunge wetu mama Shelukindo,

je hawa wanafaidi hayo matunda ya huyu mama kuwa mbunge?

Hawa vija wanasoma kweli? ama ndio mama kabakia kupiga debe bungeni huku akiingiza mabilioni ya pesa lakini watu wake wakishindwa hata kununua kaniki za kuwashonea watoto wao

http://a8.sphotos.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-snc6/190397_115568648518471_100001960098301_122797_6121656_n.jpg
hivi nyie JF hamkomi tu mmetoka kusemwa sasa hivi kuwa mnawachafua wabunge bado mnaendelea...lol
 
Hii inasikitisha jamani

utajiri wote tulionao wa mali asili lakini hebu angalia haya mapozi ya hawa vijana wa kilindi kwa mbunge wetu mama Shelukindo,

je hawa wanafaidi hayo matunda ya huyu mama kuwa mbunge?

Hawa vija wanasoma kweli? ama ndio mama kabakia kupiga debe bungeni huku akiingiza mabilioni ya pesa lakini watu wake wakishindwa hata kununua kaniki za kuwashonea watoto wao

http://a8.sphotos.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-snc6/190397_115568648518471_100001960098301_122797_6121656_n.jpg
Kwa kweli inasikitisha sana kuna watanzania wanaishi maisha kama haya kwenye nchi tajiri kama Tanzania huku mawaziri wakitembelea magari ya zaidi ya mil 280 nawa wabunge wao wana pata posho zaid ya 150,000 kwa siku kwa kusinzia bungeni....
 
Kwa kweli inasikitisha sana kuna watanzania wanaishi maisha kama haya kwenye nchi tajiri kama Tanzania huku mawaziri wakitembelea magari ya zaidi ya mil 280 nawa wabunge wao wana pata posho zaid ya 150,000 kwa siku kwa kusinzia bungeni....

harafu watu wakisema wanaonekana ni waongeaji,ooo wazambiki,oooo hatuipendi Tz,

kwa hili hapa hatuwezi kukaa kimya huku maisha ya watoto kama hawa hayaeleweki,hawa watoto hawana future

hawa jui kama kesho nao watakuwa na uwezi wa kulogi ama kulog out sehemu kama JF,YAHOO,GMAIL MSN, maisha yao yapo hatarini na kama tunakata matumbo yao ndani kitakacho onekana ni aibu kwetu

eeeee mungu hebu mfungue mbunge wao mama Shelukindo hata hako ka posho anakopata basi awanunulie hata used nguo
 
kwa kweli wanatia huruma sana hawa watoto. Unaweza hata mtu ukalia![/QUOTE

LAKINI GARI LA MBUNGE
unaliona lipo hapo,sijui anajisikiaje pale anavyopokelwa na watu wapo matumbo wazi? hii ni haki kweli,hata jezi za ccm ameshindwa kuwapa?
 
Usikute hii picha amepiga yeye mwenyewe mbunge, then anaitumia kwenye proposal zake za miradi ya kusaidia masikini kisha na hizo pesa za misaada anakula vilevile, wanamaana hawa! Hawana mioyo ya kiutu kabisa hawa! Hata hawa wanawake hawana mioyo ya kike tena!
 
Haaaa... Yaaani na leo jioni akitoka mjengoni lazima aingie JF kuperuzi.. na hapo ndipo atajuta kuiponda JF leo bungeni !!!! Sijui anatumia ID gani humu jamvini???
 
akitoka bungeni kwa akili zao utaona wanawagawia vinguo vya mitumba eti ndio misaada!
Haaaa... Yaaani na leo jioni akitoka mjengoni lazima aingie JF kuperuzi.. na hapo ndipo atajuta kuiponda JF leo bungeni !!!! Sijui anatumia ID gani humu jamvini???
 
Hii ni sehemu moja wapo tu ziko sehemu zina tisha...harafu wana tupumbaza ana amani ya ki

Ni ukweli usiopingika kuna umaskini w akutisha sana kwa Watanzania wengi. Ni jambo la kusikitisha kuona badala ya kujadili issue za maana za kupunguza umaskini wa watanzania mtu anakaa kujadili JF

Watoto kama hawa hawana uhakika wa kula yao ya siku hiyo na hawajui kama watasoma na watasomea shule gani na watarajie nini maishani mwao. Chakula kwao ni mlo mmoja kwa siku. Sabuni ni anasa na hata viatu ni anasa
 
Haaaa... Yaaani na leo jioni akitoka mjengoni lazima aingie JF kuperuzi.. na hapo ndipo atajuta kuiponda JF leo bungeni !!!! Sijui anatumia ID gani humu jamvini???
Yaani ning'eipata ningemtumia PM maana mambo mengi haya fai kuya weka hapa..maana nahisi ana msongo wa mawazo...
 
Ni ukweli usiopingika kuna umaskini w akutisha sana kwa Watanzania wengi. Ni jambo la kusikitisha kuona badala ya kujadili issue za maana za kupunguza umaskini wa watanzania mtu anakaa kujadili JF

Watoto kama hawa hawana uhakika wa kula yao ya siku hiyo na hawajui kama watasoma na watasomea shule gani na watarajie nini maishani mwao. Chakula kwao ni mlo mmoja kwa siku. Sabuni ni anasa na hata viatu ni anasa
Hata wakienda shule hakuna watakacho pata huko ndiyo ile watoto wana maliza la saba hawajui hata kuandika majina yao...
 
Back
Top Bottom