Mkuu umenena mambo mazito sana sijui wanajf na wenyewe watakuwa wavivu kusoma hizi data ulizo shuka nazo hapa! Na kuacha hii mada ipotee kimya kimya bila kucomment. Ushauri wangu kwa mkuu moderator plz iingize hii hoja kwenye Tanzania 2010-2015 mkuu hongera sana...
Nimekubali Chadema wanavichwa big sana god be blessing u, mpe hi kamanda Lema, tunakubali kazi zake, mwambie tunamsubiri akitua UK... Tutajumuika wabongo wengi kujadili naye mambo ya msingi ya arashu, pia naomba nipatie namba yake
Nimekubali Chadema wanavichwa big sana god be blessing u, mpe hi kamanda Lema, tunakubali kazi zake, mwambie tunamsubiri akitua UK... Tutajumuika wabongo wengi kujadili naye mambo ya msingi ya arashu, pia naomba nipatie namba yake