RIP Emmanuel Mwaikasu- MBEYA DAY 1987-IFUNDA TECH 1988-90

RIP Emmanuel Mwaikasu- MBEYA DAY 1987-IFUNDA TECH 1988-90

Pali kwenye tukio,walikuwa watu wawili mmoja alikuwa kafa tayari na mwingine alikuwa anatapatapa ndani ya ndimbwi la damu jirani na maiti, pikipiki ilikuwa imeharibika sana. Sielewi kama walipakizana au ilikuwaje,
 
RIP emma.

Kumbe kuna vijana wa Mbeya Day na uzunguni humu...? Mmenikumbusha mbali sana.... enzi za mbwembwe za Mpesya, viboko vya Mwakamele na mama Sombrero..... na akina Mbawala..
 
pole sana wafiwa na wote walioguswa na mcba huu
 
Ratiba ya maakuli innakaribia kufikia tamati,
Ratiba inayofuata ni kuuaga mwili wa marehemu, halafu msafara wa kuelekea kanisani utaanza, baada ya ibada ya marehemu msafara utalekea makaburi ya segerea mwisho kwa maziko..

Ajali iliyoptwaa uhai wake ilitokana na kujaribu kumkwepa pedesterian aliyekuwa anakatiza barabara. Marehemu alikuwa anaingia barabara ya Sam Nujoma. Siku ambayo amefariki ndiyo siku ya kuzaliwa kwake. Alikuwa ameitanguliza familia yake kwa Mzee mwaikasu kwa sherehe ndogo ya birthday halafu yeye akapitia Mlimani City ATM....
Yule mtu mwingine aliyekuwa anagaagaa kwenye dimbwi la damu alikuwa amegongwa na gari iliyokuw2a inamkwepa marehemu baada ya kugongwa na RAV4... Kwa kweli hatujui hali yake ingawa taarifa za awali zinasema alivunjika miguu yote.

Marehemu baada ya kugongwa aliyumba mara kadhaa kabla ya kuanguka na pikipiki. helemet ilipasuka ikisababisha pia kupasuka kwa fuvu la kichwa chake hali iliyopelekea umauti wake sekunde chache baada ya ajali.

Marehemu nimemfahamu just two months ago kwa sababu alijitolea kuwa mshenga wa ndugu yake anayeoa kwenye familia ya mke wangu... Nilikutana naye kwenye msafara wa kupeleka mahari. Ni mcheshi sana na rafiki asiyebagua.
 
RIP emma.

Kumbe kuna vijana wa Mbeya Day na uzunguni humu...? Mmenikumbusha mbali sana.... enzi za mbwembwe za Mpesya, viboko vya Mwakamele na mama Sombrero..... na akina Mbawala..

Mkuu, Mwandeko vipi! Mzee wa "hata baba yako nitamfundisha JOGORAFIA(RIP)", Usega(mzee wa kigugumizi),we acha tu....! Mungu amrehemu Emma, nakumbuka sana tulivyokuwa tunakwenda kuwafundisha kucheza soka watoto wa Uzunguni.
 
Ratiba ya maakuli innakaribia kufikia tamati,
Ratiba inayofuata ni kuuaga mwili wa marehemu, halafu msafara wa kuelekea kanisani utaanza, baada ya ibada ya marehemu msafara utalekea makaburi ya segerea mwisho kwa maziko..

Ajali iliyoptwaa uhai wake ilitokana na kujaribu kumkwepa pedesterian aliyekuwa anakatiza barabara. Marehemu alikuwa anaingia barabara ya Sam Nujoma. Siku ambayo amefariki ndiyo siku ya kuzaliwa kwake. Alikuwa ameitanguliza familia yake kwa Mzee mwaikasu kwa sherehe ndogo ya birthday halafu yeye akapitia Mlimani City ATM....
Yule mtu mwingine aliyekuwa anagaagaa kwenye dimbwi la damu alikuwa amegongwa na gari iliyokuw2a inamkwepa marehemu baada ya kugongwa na RAV4... Kwa kweli hatujui hali yake ingawa taarifa za awali zinasema alivunjika miguu yote.

Marehemu baada ya kugongwa aliyumba mara kadhaa kabla ya kuanguka na pikipiki. helemet ilipasuka ikisababisha pia kupasuka kwa fuvu la kichwa chake hali iliyopelekea umauti wake sekunde chache baada ya ajali.

Marehemu nimemfahamu just two months ago kwa sababu alijitolea kuwa mshenga wa ndugu yake anayeoa kwenye familia ya mke wangu... Nilikutana naye kwenye msafara wa kupeleka mahari. Ni mcheshi sana na rafiki asiyebagua.

Asante mkuu kwa taarifa hii ya kina, inasikitisha sana kwani marehemu alikuwa ni mtu mstaarabu sana, kweli wazuri hawadumu, Mungu amlaze pema peponi na tutakosa sana wema wake
 
rip ema........ Nilikuwa naye ifunda
atakumbukwa the day alipoteremshwa pale round about ya sinza na mkwawa kuelekea kwa mama(vizib0), darajani utawala na kushuka kule down chabruma!! The real man from mbeya akajikuta anakabidhiwa mkulu jimmy by then chairman wa chabu akatupwa pale e6 uso kwa uso na miaka vallery luwi akisaidiwa na mzee francis mulungu na membi kileo na vijana fulani wa dodoma na morogoro, inafurahisha kuzikumbuka zama zile mpaka pale alipojiunga na jopo la wazee wa dojo kilemile na njagamba lawrence huku wakisaidiwa na kijana toka kigoma bitozi mtanashati wa kuuzoa kitwana, hahahaaaaaaaaaa!!! Imma akahamia seuta just to enjoy maisha ya msolopagaz akiwa karibu sana na kilemile na njagamba, he will always be bro,friend, binadamu. Jana nilifarijika sana kuona vijana wa lyandembela na pale sinza wakimuombeleza mtumishi wa mungu imma. Bwana alitoa na bwana ametoa, jina la bwana lihimidiwe
rip imma
 
mIONGONI MWA WAKURU WALIOTIA TIMU NI PAMOJA NA JAJI MKUU MSTAAFU AMBAYE SASA NI MKUU WA CHUO KIKUU MZUMBE JAJI BARNABAS SAMATA
 
Dont tell me ni huyu aliyekuwa anafanya kazi TBL idara ya Packaging kama supervisor!, kama ndiye namjua, and he happened to be a friend!
Mungu mlaze mahala pema peponi!..

Anayefanya kazi TBL ni kaka yake
 
Back
Top Bottom