Ringia miguu yako myembamba dada yangu

Ringia miguu yako myembamba dada yangu

hii habari ya miguu imenikumbusha chuo khaa! ilikuwa kero kuna msichana alikuwa anajijua ana miguu mizuri yaani ni shida vimini vilikoma ukimsifia anakwambia na uzuri wa mguu unachangia kheee! wenye miguu yao wengine akhaa! wametulia tuu
 
wasukuma hata ukulie kijijini, miguu pai kama wazungu.

Sijawahi kupata jibu la hilo swala!!!

ila pia kama umeangalia wanawake wengi waliozaliwa mjini, hawana miwa.... wengi wenye miwa utakuta wametoka huko milimani Rombo... na Singida...



Jamani natania tu.. msije kuniua buree!!
 
hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa mma po ngafu lelo

Tena siku hizi nasikia wanaume wengi wa huko Dar wanapenda sana kulelewa. Eti mali atafute mwanamke dume litumie tu, kule kwenye uzinduzi wa jengo la kwanza kuwa na lift wanasema "Fya deso"
 
haa utaniu mwingine utakugharimu mkuu...ila kuna watoto wa Singida ukiacha miguu ni wazuri aiseee acha kabisa...hivi wema sepetu si wa huko huko?

Wemna yule ni wa mjini.. nadhani mama yake ni wa Singida pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom