Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,222
- 829,224
Shkamoo Mshana Jr
ASANTE dagii ulipotelea wapi? Nimekuitikia kisasa usijali sana
Shkamoo Mshana Jr
Na chakwangu (kicm) kinahiyo kitu aisee nilipokriki nkateiaya uyu ni wakaya,nkusheteiyana du.Duu kumbe uwa kaya...!!! Aisee naona hiking kicm changu kina word prediction ya kisambaaa
Duu uko mabibo ipi kaka ? Mimi ni So Fun hapa
mkuu wewe si uk makutano hapo karibu na kigogo?
unaweza kufika hapa mabibo jeshini nikufundishe jinsi ya kutumia bunduki?
Karibu sana jeshini..
Na chakwangu (kicm) kinahiyo kitu aisee nilipokriki nkateiaya uyu ni wakaya,nkusheteiyana du.
hahahaa! kumbe una bunduki eenh? haya bwana...Ni karibu na Loyola ? Binduki ninazo mbili unapajua matrix bar?
hahahaa! kumbe una bunduki eenh? haya bwana...
ni karibu sana na loyola hasa ukiwa unatokea hapo mabibo mwisho, ni mkono wa kulia tu unaingia kambini..
Matrix bar siijui mkuu.. kiasi flan si mnywaji..
Kwa kuchapia naona umechanjia!Hahahaaaaaaa kwei kabisa nilimaanisha mbavu
Kwa kuchapia naona umechanjia!
Duh! Yale yale!Si kosha langu ni word prediction iliyoko kwenye kicm! Changu
Duh! Yale yale!
Haya chagua fine mwenyewe!duuu nikikoshea tena nipinge fine
Hii salamu ni noooma
Haya chagua fine mwenyewe!
Angelinga angepigwa nyundo hivyo?
Duh! Nyumbani itakuwaje? Si nitalaumiwa? Au?Hahahahaaaaa sahani la pweza na cool glass la bacard
Duh! Nyumbani itakuwaje? Si nitalaumiwa? Au?